Serikali ipi imehamia Dodoma?

Serikali ipi imehamia Dodoma?

Tukubaliane kabisa wanasiasa wanatupoteza, haiwezekani kila kitu dar pamoja na wao kuwa na majimbo huko vijijin ila wanakaa hapa mjini, yan haya majamaa siyapend niwe mkweli tu, utakuaje mbunge wa rombo unakaa daslama ? Leo si Alhamis mkuu ukienda masaki sehemu za starehe utayakuta tu mkuu..


Alafu ile ishue ya maji mkuu iko hivi mimi experince yangu, nlikuwa nakaa ilala sawa kule maji ni tatizo ila saiv nakaa kinondoni karibu na hizo sehemu ulizosema maji yakikatika yanakatika kama mkoani tu yan onetime chap alafu yanarud na I have three years in Kino, daah nchi inavituko hii.. Hata umeme haukatiki kiboya huku kino, si wakuu wote wapo huku mkuu, me nnachokuomba tupambane kutafuta hela haya majitu yanatumaliza taratibu na roho inaniumaga unakuta jitu barabaran linawashangilia aisee alafu paadae anakutumia msg ka kukukopa nawakaushiaga tu aisee, si tunapigwa na jua ye kazi yake kushangilia majitu ya ushuani huko kisa yamepewa ten ten 🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hhahahahaa, umenivunja mbavu, ila haya mamtu kweli mashenzi sana.
 
Mimi nadhani hakuna ubishi wala kutaka kushindanisha Dar na sehemu yoyote. Dar itabaki kuwa kitovu cha biashara siku zote na mji mkubwa ila kuwa mji mkubwa sio kigezo cha kuwa mji mkuu hapa ndio kwanza wanahamisha mji. Dar ina changamoto nyingi kama mikoa mingine kinacholeta uhai Dar ni bandari na Airport wingi wa watu ni fursa za kiuchumi nyingi. Ila ni ukweli hatuwezi watu wote Million 45 tuishi Dar Tanzania kubwa na fusra pia kule ziko. Mji mkuu umeshahamia Dodoma tupende tusipende mambo yale ya zamani kila kitu mpaka uende Dar yameisha na hilo linawauma sana watu wa Dar. Mbaya zaidi wengi asilimia kubwa wenyeji wa Dar wachache wengi kutoka mikoani huwezi kutukana kwenu kama maisha yako unayapatia Dar vizuri kama sijui Morogoro poa tu siwezi kwenda kukaa Dar sina shughuli muhimu niko Dar mambo ya zamani hayo maisha kokote. Dar utabaki mji wa biashara na Dodoma makao makuu. kama wenzetu tu Lagos na Abuja au USA Newyork na Washington mbona kawaida.
 
Hhahahahaa, umenivunja mbavu, ila haya mamtu kweli mashenzi sana.

Braza haya mambo tunaongea huku kama utani ila chukua ndugu zako kijijin wapeleke masaki waonyeshe nyumba ya mbunge wao mpendwa alafu waambie akijaga kijijin kwetu kucheza ngoma huwa anatokea hapa, warudishe kijijin uone kama ndio mzee zitakuwa zile zile, mkuu kuna vitu viwili hawa jamaa hawataki watu wawe navyo AWARENESS na PERSEVERANCE yan system imetengeneza mazingira ambayo hakuna transparency( By the time unakuja kujua mambo tayari kila kitu kishaaribika) na kwa namna mambo yalivyo huwez kuvumilia mpaka mwisho, sasa ukilijua hilo unapambana tu na hali yako ili maisha yaende, Nakumbuka kuna kipindi nlikuwaga naandika articles( I was doing it for fun), articles ambazo zina fikra huru, na zina raise awareness nawatumia wahariri wanaziprint na mimi natumiwa fungu langu, ndugu yangu there was a time when i started receiving anonymous call za vitisho, mpaka nikapiga chin namba ya simu nikatafuta mpya na nikaacha...SASA HAPO MKUU SI NIKUKAUSHA TU....Hakuna kitu kibaya kama living the rest of your life looking over your shoulder, the feeling that there will be flying bullets any moment any time and you might catch one ndio tatizo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣, me mwenyewe maisha matamu nayajua 🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mimi nadhani hakuna ubishi wala kutaka kushindanisha Dar na sehemu yoyote. Dar itabaki kuwa kitovu cha biashara siku zote na mji mkubwa ila kuwa mji mkubwa sio kigezo cha kuwa mji mkuu hapa ndio kwanza wanahamisha mji. Dar ina changamoto nyingi kama mikoa mingine kinacholeta uhai Dar ni bandari na Airport wingi wa watu ni fursa za kiuchumi nyingi. Ila ni ukweli hatuwezi watu wote Million 45 tuishi Dar Tanzania kubwa na fusra pia kule ziko. Mji mkuu umeshahamia Dodoma tupende tusipende mambo yale ya zamani kila kitu mpaka uende Dar yameisha na hilo linawauma sana watu wa Dar. Mbaya zaidi wengi asilimia kubwa wenyeji wa Dar wachache wengi kutoka mikoani huwezi kutukana kwenu kama maisha yako unayapatia Dar vizuri kama sijui Morogoro poa tu siwezi kwenda kukaa Dar sina shughuli muhimu niko Dar mambo ya zamani hayo maisha kokote. Dar utabaki mji wa biashara na Dodoma makao makuu. kama wenzetu tu Lagos na Abuja au USA Newyork na Washington mbona kawaida.

Kweli kabisa mkuu, niende ruvu sina ishue si ntakufa njaa, lazima kuwe na mchongo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuhamia Dodoma kwa dunia hii ya sasa ni kupoteza muda, na pesa. Duniani duara....e governement kila sehemu. Kulikua na haja gani kuhamia Dodoma.

Magu Wakukurupuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwa sababu hizo shughuli zimemkuta akiwa Dar ndio maana, lakini Serikali ya awamu ya tano chini ya Dr. John Pombe Joseph Magufuli imehamia Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua viongozi wengi wa afrika wanawaogopa raia wao kuliko wazungu.
Pale anajua mkiandamana anaweza escape kwa urahisi
Magogoni ni rahisi kuuawa kwani wazungu wakituma nyambizi submarine na drone zao ni rahisi kuleta maafa kisha wakatokomea baharini, Dodoma pako salama kuliko hapo Dsm

system error occurred
 
Kijana Jamaa amesababishanyumba kupanda bei tofauti na mkoa wenyewe ulivyo, Dodoma haina hadhi ya chumba kukodishwa 70,000/ hadi 100,000/ kwa mwezi.
Kila mtu anasema Dodoma shida, lakini hamsemi shida gani. Acheni kuishi kwa mazoea. Mikoa mingi iko vizuri sana kuliko Dar. Ni kutofahamu tu. Hakuna mkoa wenye standard ya chini ya maisha kwa sasa kama Dar.

system error occurred
 
Tye tye ty tye
Kila siku mambo muhimu ya kiserikali yanafanyika Dar es Salaam, lakini tumeambiwa na kutangaziwa kuwa serikali na bwana mkubwa Rais wamehamia rasmi Dodoma.

Mawaziri wanaapishiwa Dar

Mabalozi wanaapishiwa Dar

Mabalozi wa kigeni wanawasilisha hati zao za viapo Dar

Rais muda wote yupo Dar

Mkataba wa Barrick a.k.a Acacia na Serikali/Twiga umesainiwa Ikulu Dar

Makamu wa Rais muda wote yupo Dar

Jaji Mkuu na viongozi wa vyombo vya usalama muda wote wapo Dar

Waziri Zungu karipoti Dar kwa ofisi ya Makamu wa Rais

Waziri Jafo naye yupo Dar

Mimi naomba kueleweshwa Dodoma wamehamia kina nani? Ni serikali ipi imehamia Dodoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awapi ikiwa nyumbani ni chamwino alivyo toka zanzibar kwann asinyooke moja kwa moja Dodoma.
Na kwasababu anataka kuionesha dunia kuwa dodoma ndio capital city sio ilikuwa vizuri kuwaapishia mabarozi Dodoma ili wajue kuwa tumehama Dar?
Ni kwa sababu hizo shughuli zimemkuta akiwa Dar ndio maana, lakini Serikali ya awamu ya tano chini ya Dr. John Pombe Joseph Magufuli imehamia Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app

system error occurred
 
Awapi ikiwa nyumbani ni chamwino alivyo toka zanzibar kwann asinyooke moja kwa moja Dodoma.
Na kwasababu anataka kuionesha dunia kuwa dodoma ndio capital city sio ilikuwa vizuri kuwaapishia mabarozi Dodoma ili wajue kuwa tumehama Dar?
Ni kwa sababu hizo shughuli zimemkuta akiwa Dar ndio maana, lakini Serikali ya awamu ya tano chini ya Dr. John Pombe Joseph Magufuli imehamia Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app

system error occurred
 
Hata yeye mwenyewe kashindwa hamia dodoma zaidi ya kuwabwaga watumishi na kuwapa gharama za kuhudumia familia zao baba dar mama dodoma mshahara ugawe Mara mbili.Hili la dodoma ni la kisiasa na si kiuchumi,
Kwa mifumo ya mawasiliano E Gov , ugatuzi madaraka, mbali ya Wabunge nani Mtanzania anahitaji kufika wizarani kwa lipi!?Tumepoteza pesa bure maamuzi Dom, hapakuwa na uhitaji as planned earlier.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gharama ya kutupa kuijenga dodoma heri tungeboresha elimu yetu au kutatua shida ya ajira nchini.Imepotea airudi tena
 
Kuweni na Subira, akishazindua rasmi hiyo Interchange ya Ubungo atarejea rasmi Makao Makuu ya Nchi. Najua hata wewe mleta uzi unajua wazi utamu wa ule upepo unaovuma kutoka bahari ya Hindi.
Uchaguzi umefika asiporudi je? Siasa ni upepo hio ikulu ya dodoma ataikalia lini?
 
Sisi ni waumini wa sera za mwalimu Nyerere,tutatekeleza kila alichopanga kufanya,kiwe na faida au kisiwe na faida, sasa naelewa why wazungu wanapenda kusafiri sana duniani,exposure ni darasa on its own
Mwalimu kama angekuwepo asingemshauri kurudia makosa aliyoyafanya mwalimu dunia ilishahamia kwenye sector binafsi,serikali yeyeto aijawahifanya biashara ikafanikiwa.Anarudia makosa aliyofanya mwalimu badala ya kujifunza kutokana na makosa aliyofanya mwalimu.Mwalimu aliishi zama zilizopita kumuiga kwa zama hizi za vizazi visivyomjua hata kweli na sawa na kutembea kwenye fikra mfu zisizo na tija kwa ulimwengu Wa sasa.Ukiuwa demokrasia ukauwa sector binafsi kifuatacho ni uchimbe tu kaburi
 
Kila siku mambo muhimu ya kiserikali yanafanyika Dar es Salaam, lakini tumeambiwa na kutangaziwa kuwa serikali na bwana mkubwa Rais wamehamia rasmi Dodoma.

Mawaziri wanaapishiwa Dar

Mabalozi wanaapishiwa Dar

Mabalozi wa kigeni wanawasilisha hati zao za viapo Dar

Rais muda wote yupo Dar

Mkataba wa Barrick a.k.a Acacia na Serikali/Twiga umesainiwa Ikulu Dar

Makamu wa Rais muda wote yupo Dar

Jaji Mkuu na viongozi wa vyombo vya usalama muda wote wapo Dar

Waziri Zungu karipoti Dar kwa ofisi ya Makamu wa Rais

Waziri Jafo naye yupo Dar

Mimi naomba kueleweshwa Dodoma wamehamia kina nani? Ni serikali ipi imehamia Dodoma?
Ya chuo kikuu cha Dodoma
 
Mwalimu kama angekuwepo asingemshauri kurudia makosa aliyoyafanya mwalimu dunia ilishahamia kwenye sector binafsi,serikali yeyeto aijawahifanya biashara ikafanikiwa.Anarudia makosa aliyofanya mwalimu badala ya kujifunza kutokana na makosa aliyofanya mwalimu.Mwalimu aliishi zama zilizopita kumuiga kwa zama hizi za vizazi visivyomjua hata kweli na sawa na kutembea kwenye fikra mfu zisizo na tija kwa ulimwengu Wa sasa.Ukiuwa demokrasia ukauwa sector binafsi kifuatacho ni uchimbe tu kaburi
Mkuu hayo PhD holder wetu hayajui,yeye ni bulldozzer,Bulldozzer ukishaliweka mafuta,ukaliwasha kisha ukalipiga gia lenyewe ni kupitia kila kitu kilicho mbele yake kiwe cha faida au harasa,kiwe cha dhamani au ladha lenyewe halijui, nchi yetu ina bahati mbaya kwa kweli
 
Back
Top Bottom