goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 794
- 865
Tutazunguka Sana mkuu Siri izo shule hapo juu wamewekeza kwanzia miundo mbinu mpk kuwalipa walimu vizuriKuna la kujifunza kutoka kwenye shule za St Fransis,Marian Boys,Cannosa,Feza boys,Ahmes.. sijui hawa wenye shule za Kikatoliki na private wana siri gani kwenye kufaulisha physics na maths.