Serikali Iongeze nguvu kwenye masomo ya Hisabati na fizikia

Komando tamimy

Senior Member
Nov 18, 2020
108
121
Habari za usiku wana jamvi tukiwa na furaha na ufaulu wa vijana wetu kidato cha nne kwa hakika wanastahili sifa wamefanya vizuri kama matokeo yatakuwa ni ya kweli.

Lakini pamoja na kufanya vizuri nadhani changamoto imebaki katika masomo makuu mawili.

Fizikia na hisabati kwa ujumla matokeo yake si mazuriql kivile.

Wanafunzi wengi wamefanya vibaya tena sana ushauri wangu serikali iwekeze nguvu kubwa katika masomo haya.

Kwa kuajili Walimu wengi wa physics na hisabati na ikiwwzekana katika ajira 5000 zilizobaki serikali ingeajiri angalau waaalimu 4500 wa hesabu na physics na angalau hizo 500 zilizobaki angalau wangeshukuliwa waalimu wa masomo mengine ni ushauri tuu iki kuleta uwiano katika ufaulu
 
Unafikiri wakiajiri hao 5000 ndio tatizo litaisha....?

Kuna shule zina walimu wa physics na hesabu lakini kwenye haya matokeo bado zimefanya vibaya. Hili unalizungumziaje...??

Itoshe kusema mawazo yako hayana tija kwa sababu pamoja na uwepo wa walimu muda mwingine ufaulu utegemea uwezo binafsi wa mwanafunzi mwenyewe. Hata uajiri walimu 400 wa fizikisi shule moja kama wanafunzi hawako committed kusoma still watafeli tu.....
 
Unafikiri wakiajiri hao 5000 ndio tatizo litaisha....?

Kuna shule zina walimu wa physics na hesabu lakini kwenye haya matokeo bado zimefanya vibaya. Hili unalizungumziaje...??

Itoshe kusema mawazo yako hayana tija kwa sababu pamoja na uwepo wa walimu muda mwingine ufaulu utegemea uwezo binafsi wa mwanafunzi mwenyewe. Hata uajiri walimu 400 wa fizikisi shule moja kama wanafunzi hawako committed kusoma still watafeli tu.....
Kwenye hayo masomo Mwalimu ana mchango Mkubwa sana kwenye ufaulu wa mwanafunzi.
 
Habari za usiku wana jamvi tukiwa na furaha na ufaulu wa vijana wetu kidato cha nne kwa hakika wanastahili sifa wamefanya vizuri kama matokeo yatakuwa ni ya kweli. Lakini pamoja na kufanya vizuri nadhani changamoto imebaki katika masomo makuu mawili. Fizikia na hisabati kwa ujumla matokeo yake si mazuriql kivile .wanafunzi wengi wamefanya vibaya tena sana ushauri wangu serikali iwekeze nguvu kubwa katika masomo haya.
Kwa kuajili. Waalimu wengi wa physics na hisabati na ikiwwzekana katika ajira 5000 zilizobaki serikali ingeajiri angalau waaalimu 4500 wa hesabu na physics na angalau hizo 500 zilizobaki angalau wangexhukuliwa waalimu wa masomo mengine ni ushauri tuu iki kuleta uwiano katika ufaulu
Kama Taifa Kuna kitu inabidi kufanya,
 
Watoto hawajui hesabu kabisa,
Wakati fulani fulani nikiwa free nawafundisha hesabu darasa la 1 to 5, niseme najitolea maana huku pwani hawana mwamko wa elimu hivyo hata kulipa hawalipi.

Watoto hawajui hesabu, mwanafunzi wa std five hawezi hesabu za kutoa, yaani akikopa hawezi kukumbuka anaporudi figure inayofuata.

Ni kama waalim wao hawawapi msingi mzuri au tuseme waalim wanafanya tu bora liende.

Even though, waalim wa hesabu na sayansi wako mtaani hawana ajira.

Okay hongera kwa vijana akina mujukuu waliofanya vizuri.

Na walioishindwa wasiogopa bado wana muda wa kufanya vizuri pia.
 
Watoto hawajui hesabu kabisa,
Wakati fulani fulani nikiwa free nawafundisha hesabu darasa la 1 to 5, niseme najitolea maana huku pwani hawana mwamko wa elimu hivyo hata kulipa hawalipi.

Watoto hawajui hesabu, mwanafunzi wa std five hawezi hesabu za kutoa, yaani akikopa hawezi kukumbuka anaporudi figure inayofuata.

Ni kama waalim wao hawawapi msingi mzuri au tuseme waalim wanafanya tu bora liende.

Even though, waalim wa hesabu na sayansi wako mtaani hawana ajira.

Okay hongera kwa vijana akina mujukuu waliofanya vizuri.

Na walioishindwa wasiogopa bado wana muda wa kufanya vizuri pia.
Hivi zile seminar za walimu bado zipo?
Kuna walimu wengi ambao wakipewa mitihani ya masomo wanayoyafundisha hawawezi kufikisha alama hamsini.
 
Unafikiri wakiajiri hao 5000 ndio tatizo litaisha....?

Kuna shule zina walimu wa physics na hesabu lakini kwenye haya matokeo bado zimefanya vibaya. Hili unalizungumziaje...??

Itoshe kusema mawazo yako hayana tija kwa sababu pamoja na uwepo wa walimu muda mwingine ufaulu utegemea uwezo binafsi wa mwanafunzi mwenyewe. Hata uajiri walimu 400 wa fizikisi shule moja kama wanafunzi hawako committed kusoma still watafeli tu.....
Waalimu wakiwa wengi kuna faida kubwa mojawapo mwanafunzi kufanya mazoezi mengi na ya kutosha
 
ռɢօʍǟ ɨռǟǟռʐǟɢǟ ɦɨvɨ. օɢօքǟ sana
IMG-20210102-WA0196.jpg
 
Hivi zile seminar za walimu bado zipo?
Kuna walimu wengi ambao wakipewa mitihani ya masomo wanayoyafundisha hawawezi kufikisha alama hamsini.
Waalim hata waende semina haisaidii maana huwezi muingizia kitu hakijui kichwani, most of them hawajui
 
Watoto hawajui hesabu kabisa,
Wakati fulani fulani nikiwa free nawafundisha hesabu darasa la 1 to 5, niseme najitolea maana huku pwani hawana mwamko wa elimu hivyo hata kulipa hawalipi.

Watoto hawajui hesabu, mwanafunzi wa std five hawezi hesabu za kutoa, yaani akikopa hawezi kukumbuka anaporudi figure inayofuata.

Ni kama waalim wao hawawapi msingi mzuri au tuseme waalim wanafanya tu bora liende.

Even though, waalim wa hesabu na sayansi wako mtaani hawana ajira.

Okay hongera kwa vijana akina mujukuu waliofanya vizuri.

Na walioishindwa wasiogopa bado wana muda wa kufanya vizuri pia.
Ila mambo ya kina diamond harmonise juma lokole shyshy wanayajua
Uko pwani ipi lakini mamdenyi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Latent heat, sensible heat, specific heat capacity, perfect gas, vapour...pullies....wave...

Upande mwingine kuna probability...!!! Hatari
 
Idadi ya wanafunzi wengi kutokupenda na kutokujua hesabu imekua janga na sio leo wala jana

Wataalam wa elimu waangalie tena kuanzia kwenye mitaala, teaching methodologies, strategies ikiwa ni pamoja na mbinu na zana zitakazoweza kuileta husabati kwenye uhalisia wa mazingira na maisha ya mwanafunzi.

Hesabu ni nzuri sana weeee Hesabu ni nzuri sana weeee siwezi kuelewa, mwalimu nifundishe ee mwalimu ee mwalimu nifundisheee🕰🎼🎷🎸🎤🎶🎶🎶
 
Nchi hii Kuna tatizo kubwa Sana ambalo halionekani na kisaikolojia linatafuna Maisha yajayo.

Watoto wengi hawasomi kwa bidii hivi Sasa kwa sababu watu waliowaamini kuwa walikuwa na uwezo mzuri Darasani hawana kazi zilizowafanya wasome kwa bidii.
Vivyo hivyo kwa wazazi wengi wa uswahilini wametupilia Mbali jukumu la kusimamia elimu za vijana wao kwa sababu hiyohiyo.
 
Kuna la kujifunza kutoka kwenye shule za St Fransis,Marian Boys,Cannosa,Feza boys,Ahmes.. sijui hawa wenye shule za Kikatoliki na private wana siri gani kwenye kufaulisha physics na maths.
 
Kwa nini shule za private zimeonyesha kufaulu kwenye fizikia na hesabu? Labda tuanzie hapo
 
Nchi hii Kuna tatizo kubwa Sana ambalo halionekani na kisaikolojia linatafuna Maisha yajayo.

Watoto wengi hawasomi kwa bidii hivi Sasa kwa sababu watu waliowaamini kuwa walikuwa na uwezo mzuri Darasani hawana kazi zilizowafanya wasome kwa bidii.
Vivyo hivyo kwa wazazi wengi wa uswahilini wametupilia Mbali jukumu la kusimamia elimu za vijana wao kwa sababu hiyohiyo.
Kweli kabisa, na hii inaonekana hadi kwa wabunge walioishia darasa la saba kuamua hatima ya nchi hii. Kama hakuna incentives zinazofanya vijana, wazazi na jamii kiujumla ione umuhimu wa kuwekeza jitihada zao kwenye elimu hali itaendelea kuwa mbaya zaidi ambapo ulozi, majungu, fitina, rushwa vitakuja kutamalaki zaidi kupata nafasi kuliko academic merits na hii tumeishuhudia sana hata kwenye utumishi wa umma na inashusha morale za wale ambao wapo vizuri kichwani kuweza kusaidia nchi, maana mara nyingi huwa hawapo vizuri kwenye sekta za kupiga majungu, fitina na ulozi hivyo kuishia kukata tamaa...
 
Utungaji wa mitihan umebadilika,..haswa kwenye upande wa physics,.kuanzia mwaka 2019 format imebadilika na mfumo wa maswali unampima mwanafunzi ameelewa Nini na sio alikariri Nini,.
Conceptual questions,..na competence based questions..ndo zinazowatoa watoto kwenye reli..wao bado wanawaza kuhusu Define,.mention,List, na briefly explain..
Ushauri walimu wa masomo ya physics badilishen staili ya ufundishaji..kuanzia kidato Cha Kwanza,..kwny kila topic mjaribu kuwapa watoto conceptual questions,..ambazo zinahusiana na maisha halisi..
Kwa mfano mtoto anaulizwa,..je Ni process gan hutokea pale unapoweka TEa bag kweny maji ya Moto...kwa ambae haelewi conceptual questions hili swali hawezi akajibu chochote...(diffusion).. answer.
 
Utungaji wa mitihan umebadilika,..haswa kwenye upande wa physics,.kuanzia mwaka 2019 format imebadilika na mfumo wa maswali unampima mwanafunzi ameelewa Nini na sio alikariri Nini,.
Conceptual questions,..na competence based questions..ndo zinazowatoa watoto kwenye reli..wao bado wanawaza kuhusu Define,.mention,List, na briefly explain..
Ushauri walimu wa masomo ya physics badilishen staili ya ufundishaji..kuanzia kidato Cha Kwanza,..kwny kila topic mjaribu kuwapa watoto conceptual questions,..ambazo zinahusiana na maisha halisi..
Kwa mfano mtoto anaulizwa,..je Ni process gan hutokea pale unapoweka TEa bag kweny maji ya Moto...kwa ambae haelewi conceptual questions hili swali hawezi akajibu chochote...(diffusion).. answer.
Kwa hiyo mtaala unawafizia watahiniwa hivi sasa.

Maana sylabus, Vitabu vya kiada havijawaandaa watahiniwa kuweza kujibu kwa mfumo huo unaozungumzia.

Pili katika upimaji hatuanzi na application Bali simple Knowledge mfano maswali ya kuchagua. Sasa swali lilipo katika ngazi ya nne ya tathmini linakuwa la kwanza! Huo nao Ni Uchawi ama Ni upagani unaofanana na kitu Kama hicho.

Rejea tafadhali Mwaka 1956:
Knowledge.
Comprehension.
Application.
Analysis.
Synthesis.
Evaluation.

Mfano wa swali lako upo katika hatua namba tatu ya upimaji.
Tutaua watoto hawa tusipokuwa makini Tena kwa kuangalia sababu na sio matokeo.
 
Utungaji wa mitihan umebadilika,..haswa kwenye upande wa physics,.kuanzia mwaka 2019 format imebadilika na mfumo wa maswali unampima mwanafunzi ameelewa Nini na sio alikariri Nini,.
Conceptual questions,..na competence based questions..ndo zinazowatoa watoto kwenye reli..wao bado wanawaza kuhusu Define,.mention,List, na briefly explain..
Ushauri walimu wa masomo ya physics badilishen staili ya ufundishaji..kuanzia kidato Cha Kwanza,..kwny kila topic mjaribu kuwapa watoto conceptual questions,..ambazo zinahusiana na maisha halisi..
Kwa mfano mtoto anaulizwa,..je Ni process gan hutokea pale unapoweka TEa bag kweny maji ya Moto...kwa ambae haelewi conceptual questions hili swali hawezi akajibu chochote...(diffusion).. answer.
Nikwasomo hilo la physics ndio utungaji umebadilika au laaa!? Kwanini masomo mengine wanafaulu kuna shule kama Hizo ulizozitaja feza boys,st francis zinafanya vizuri kwa sababu ya weledi wake au ni waaalimu mahiri wanaofanya kazi hapo shuleni?shule kama st francis inawaalimu zaidi ya 10 wa hesabu na physics kwa hiyo mwanafunzi ataelewa akitaka asitake.
 
Back
Top Bottom