Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,050
- 144,458
Taarifa hii ni kwa mujibu wa taarifa ya uchambuzi wa ACT Wazalendo wa taarifa ya CAG ya mwaka 2019/2020.
Je, hili shirika halijageuka "mchwa" kwa watanzania?
Hivi viongozi wa nchi hii wanaohusika na ufanyaji wa maamuzi wako mentalily fit na zaidi wako comfortable na hali hii?
Halafu bado katika Bajeti ya mwaka wa fedha wa 2019/2020, wakaomba Bunge liidhinishe shilingi bilion 500 kwa ajili ya kununulia ndege nyingine!!
Je, hawaoni au kuna 10% inahusika?
Wacha niishie hapa nisijeandika mengine yasiyofaa kuandikwa.
Very,very sad!
Je, hili shirika halijageuka "mchwa" kwa watanzania?
Hivi viongozi wa nchi hii wanaohusika na ufanyaji wa maamuzi wako mentalily fit na zaidi wako comfortable na hali hii?
Halafu bado katika Bajeti ya mwaka wa fedha wa 2019/2020, wakaomba Bunge liidhinishe shilingi bilion 500 kwa ajili ya kununulia ndege nyingine!!
Je, hawaoni au kuna 10% inahusika?
Wacha niishie hapa nisijeandika mengine yasiyofaa kuandikwa.
Very,very sad!