BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,357
- 8,070
Hasara za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa miaka 9 (2014-2022)
2014/2015 - Tsh. Bilioni 94.3
2015/2016 - Tsh. Bilioni 109.2
2016/2017 - Tsh. Bilioni 113.8
2017/2018 - Tsh. Bilioni 26.6
2018/2019 - Tsh. Bilioni 48
2019/2020 - Tsh. Bilioni 60.24
2020/2021 - Tsh. Bilioni 36.2
2021/2022 - Tsh. Bilioni 35.2
Ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), zimeendelea kuonesha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara tangu Serikali ilipoamua kulifufua kwa kununua ndege mpya 12.
ATCL imekodishwa Ndege 11 zilizonunuliwa kwa Tsh. Tril 1.47 zinazotoa huduma ya Usafiri sehemu mbalimbali ndani na nje ya Nchi, baadhi yake zimepata hitilafu za kiufundi na 1 inashikiliwa Nchini Uholanzi.
Una maoni gani kuhusu hali ya Shirika hili la Serikali?
2014/2015 - Tsh. Bilioni 94.3
2015/2016 - Tsh. Bilioni 109.2
2016/2017 - Tsh. Bilioni 113.8
2017/2018 - Tsh. Bilioni 26.6
2018/2019 - Tsh. Bilioni 48
2019/2020 - Tsh. Bilioni 60.24
2020/2021 - Tsh. Bilioni 36.2
2021/2022 - Tsh. Bilioni 35.2
Ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), zimeendelea kuonesha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara tangu Serikali ilipoamua kulifufua kwa kununua ndege mpya 12.
ATCL imekodishwa Ndege 11 zilizonunuliwa kwa Tsh. Tril 1.47 zinazotoa huduma ya Usafiri sehemu mbalimbali ndani na nje ya Nchi, baadhi yake zimepata hitilafu za kiufundi na 1 inashikiliwa Nchini Uholanzi.
Una maoni gani kuhusu hali ya Shirika hili la Serikali?