Serikali ifanye 'due diligence' mkataba TANESCO kukodisha software kwa Dola 30m toka kampuni ya India

Chini ya dr Menard Kalemani tuliambiwa tanesco tayari ilikua inajiendesha yenyewe na taarifa ya mwisho ya hesabu shirika lilianza kupata faida.

Asili ya tanesco kua mzigo ni kugeuzwa shamba la bibi na wapigaji. Mikataba ya uzalishaji ya kinyonyaji na makampuni binafsi na ubadhilifu wa vigogo ndio ilikua kawaida.

Baada ya Rais kumuondoa Kalemani na kumuweka Januari Makamba wa tu wameshituka. Huo ndio ukweli mtupu. Wananchi hawamuamini Januari kutokana na kauli zake na kundi lao kukejeli na kudharau juhudi za Magufuli alipokuwa Rais.

Makamba ameanza kuweka watu wake kwenye bodi wakiwepo wafanyabiashara wakubwa halafu mara shirika linaingia mkataba wa kukodi software eti ya managrment kwa dola za kimarekani milioni 30.

Kama Serikali imefanya uchunguzi wa nani anataka kupewa kandarasi za kujenga meli za shirika la meli 'due diligence' na kukuta madudu ya kutisha tungependa wafanye pia uchunguzi kama ilikua lazima kukodi software ya management na kwa bei hiyo kubwa ya kushangaza. Na pia kama utaratibu wa manunuzi wa serikali haujakiukwa.

Kuna watu nchini wanasifiwa tu wakati ujuzi wao ni kutoa kandarasi za kipigaji tu. Inavyofahamika nchini kuna wajuzi wazuri wa tehama na wameweza kutengeneza software nzuri zinatumika na serikali. Hawa kina Januati na timu yake ameweka tanesco ni sawa na wale walitaka kupeleka ndege ya air tanzania afrika ya kusini kuweka nembo na maandishi ya kampuni kwa dola millioni kadha.

Ikiwa tunataka kuendelea lazima tusimamishe upigaji.

Kwa hivyo tunataka uchunguzi wa ukodishaji hiyo software vinginevyo hayo ya bandari tutaona ni 'selective' action kufanya show tu. Ni mambo yale ya awamu ya nne yaani usanii tu.
Huko kukodi ni kwa kila mwaka mbona kama ni hivyo ni upigaji mkubwa sana.
 
Chini ya dr Menard Kalemani tuliambiwa tanesco tayari ilikua inajiendesha yenyewe na taarifa ya mwisho ya hesabu shirika lilianza kupata faida.

Asili ya tanesco kua mzigo ni kugeuzwa shamba la bibi na wapigaji. Mikataba ya uzalishaji ya kinyonyaji na makampuni binafsi na ubadhilifu wa vigogo ndio ilikua kawaida.

Baada ya Rais kumuondoa Kalemani na kumuweka Januari Makamba watu wameshituka. Huo ndio ukweli mtupu. Wananchi hawamuamini Januari kutokana na kauli zake na kundi lao kukejeli na kudharau juhudi za Magufuli alipokuwa Rais.

Makamba ameanza kuweka watu wake kwenye bodi wakiwepo wafanyabiashara wakubwa halafu mara shirika linaingia mkataba wa kukodi software eti ya managrment kwa dola za kimarekani milioni 30.

Kama Serikali imefanya uchunguzi wa nani anataka kupewa kandarasi za kujenga meli za shirika la meli 'due diligence' na kukuta madudu ya kutisha tungependa wafanye pia uchunguzi kama ilikua lazima kukodi software ya management na kwa bei hiyo kubwa ya kushangaza. Na pia kama utaratibu wa manunuzi wa serikali haujakiukwa.

Kuna watu nchini wanasifiwa tu wakati ujuzi wao ni kutoa kandarasi za kipigaji tu. Inavyofahamika nchini kuna wajuzi wazuri wa tehama na wameweza kutengeneza software nzuri zinatumika na serikali. Hawa kina Januati na timu yake ameweka tanesco ni sawa na wale walitaka kupeleka ndege ya air tanzania afrika ya kusini kuweka nembo na maandishi ya kampuni kwa dola millioni kadha.

Ikiwa tunataka kuendelea lazima tusimamishe upigaji.

Kwa hivyo tunataka uchunguzi wa ukodishaji hiyo software vinginevyo hayo ya bandari tutaona ni 'selective' action kufanya show tu. Ni mambo yale ya awamu ya nne yaani usanii tu.
Bunge linasemaje juu ya hili? Yaani katika wabunge wote pamee
Chini ya dr Menard Kalemani tuliambiwa tanesco tayari ilikua inajiendesha yenyewe na taarifa ya mwisho ya hesabu shirika lilianza kupata faida.

Asili ya tanesco kua mzigo ni kugeuzwa shamba la bibi na wapigaji. Mikataba ya uzalishaji ya kinyonyaji na makampuni binafsi na ubadhilifu wa vigogo ndio ilikua kawaida.

Baada ya Rais kumuondoa Kalemani na kumuweka Januari Makamba watu wameshituka. Huo ndio ukweli mtupu. Wananchi hawamuamini Januari kutokana na kauli zake na kundi lao kukejeli na kudharau juhudi za Magufuli alipokuwa Rais.

Makamba ameanza kuweka watu wake kwenye bodi wakiwepo wafanyabiashara wakubwa halafu mara shirika linaingia mkataba wa kukodi software eti ya managrment kwa dola za kimarekani milioni 30.

Kama Serikali imefanya uchunguzi wa nani anataka kupewa kandarasi za kujenga meli za shirika la meli 'due diligence' na kukuta madudu ya kutisha tungependa wafanye pia uchunguzi kama ilikua lazima kukodi software ya management na kwa bei hiyo kubwa ya kushangaza. Na pia kama utaratibu wa manunuzi wa serikali haujakiukwa.

Kuna watu nchini wanasifiwa tu wakati ujuzi wao ni kutoa kandarasi za kipigaji tu. Inavyofahamika nchini kuna wajuzi wazuri wa tehama na wameweza kutengeneza software nzuri zinatumika na serikali. Hawa kina Januati na timu yake ameweka tanesco ni sawa na wale walitaka kupeleka ndege ya air tanzania afrika ya kusini kuweka nembo na maandishi ya kampuni kwa dola millioni kadha.

Ikiwa tunataka kuendelea lazima tusimamishe upigaji.

Kwa hivyo tunataka uchunguzi wa ukodishaji hiyo software vinginevyo hayo ya bandari tutaona ni 'selective' action kufanya show tu. Ni mambo yale ya awamu ya nne yaani usanii tu.
Bunge linasemaje kuhusu hili? Yaani katika idadi ya wabunge wote tulionao hakuna hata mmoja anaeliongelea ?
 
Na hiyo tenda ilitangazwa lini ? Ni muhimu Rais Samia akarudisha hizi tenda zote zipitie bungeni. Haiwezekani Management mpya ya Tanesco within 2 months tayari wanatoa tenda ya 30 million USD
Tena kukodi
 
Bunge linasemaje juu ya hili? Yaani katika wabunge wote pamee

Bunge linasemaje kuhusu hili? Yaani katika idadi ya wabunge wote tulionao hakuna hata mmoja anaeliongelea ?
Wabunge gan hao unao wazungumzia? Hawa waliopita bila kupingwa ama?
 
Chini ya dr Menard Kalemani tuliambiwa tanesco tayari ilikua inajiendesha yenyewe na taarifa ya mwisho ya hesabu shirika lilianza kupata faida.

Asili ya tanesco kua mzigo ni kugeuzwa shamba la bibi na wapigaji. Mikataba ya uzalishaji ya kinyonyaji na makampuni binafsi na ubadhilifu wa vigogo ndio ilikua kawaida.

Baada ya Rais kumuondoa Kalemani na kumuweka Januari Makamba wa tu wameshituka. Huo ndio ukweli mtupu. Wananchi hawamuamini Januari kutokana na kauli zake na kundi lao kukejeli na kudharau juhudi za Magufuli alipokuwa Rais.

Makamba ameanza kuweka watu wake kwenye bodi wakiwepo wafanyabiashara wakubwa halafu mara shirika linaingia mkataba wa kukodi software eti ya managrment kwa dola za kimarekani milioni 30.

Kama Serikali imefanya uchunguzi wa nani anataka kupewa kandarasi za kujenga meli za shirika la meli 'due diligence' na kukuta madudu ya kutisha tungependa wafanye pia uchunguzi kama ilikua lazima kukodi software ya management na kwa bei hiyo kubwa ya kushangaza. Na pia kama utaratibu wa manunuzi wa serikali haujakiukwa.

Kuna watu nchini wanasifiwa tu wakati ujuzi wao ni kutoa kandarasi za kipigaji tu. Inavyofahamika nchini kuna wajuzi wazuri wa tehama na wameweza kutengeneza software nzuri zinatumika na serikali. Hawa kina Januati na timu yake ameweka tanesco ni sawa na wale walitaka kupeleka ndege ya air tanzania afrika ya kusini kuweka nembo na maandishi ya kampuni kwa dola millioni kadha.

Ikiwa tunataka kuendelea lazima tusimamishe upigaji.

Kwa hivyo tunataka uchunguzi wa ukodishaji hiyo software vinginevyo hayo ya bandari tutaona ni 'selective' action kufanya show tu. Ni mambo yale ya awamu ya nne yaani usanii tu.
Kama software tayari imeshakodiwa hiyo tena siyo due diligence ni audit
Due diligence is a proactive measure before a major decision in investment is done
Huko kukodi ni kwa kila mwaka mbona kama ni hivyo ni upigaji mkubwa sana.
Vituko nchi hii haviishi. Tuliwahi kuaminishwa kuwa TCCL inatengezeza faida na hivyo kutoa dividend serikalini. Kilichokuwa kinafanyika ni serikali kupata changizo toka mashirika ambayo ina hisa. Ila ikapotoshwa tukaaminishwa kuwa yamefanyika mageuzi makubwa sana na mashirika yameanza kujiendesha kibiashara. Inawezekana kabisa Tanesco nayo ilingiizwa kwenye mtego hup
 
Makamba kaunda bodi ya TANESCO strategically imsaidie kwenye harakati za uraisi, Kaweka mtoto wa Mfanysbiashara mkubwa mle ndani, Kaweka mnufaika wa Symbion.

Kuna mtu aliniambia kuwa wenye share ya Symbion mahali fulani hapa Dar walishangilia sana waliposikia Makamba kapewa Wizara ya Nishati. What do you expect?
 
Za chini ya kapeti ni kuwa hizi ni dili za kuwarudishia hela zao waliominywa na JPM, na kwa minajili hii msishangae kusikia kuwa kampuni nyingine zimepewa zabuni ya kusambaza vitu fulanifulani. Yaani ni Upigaji mtupu kwenye awamu hii ya Samia.
Ukichunguza hili dili utakuta watu wana 10% zao humo.

Hili ni dili linalonuka ufisadi wa kufa mtu, Samia hawezi kukwepa Lawama kwa vitu vyenye harufu ya UPIGAJI kama hivi
Awamu ya tano imejaa ufisadi wa kutisha,macho kumchuzi hana uwezo hata wa kua katibu kata,hapo amebebwa na katina tu...tutasikia ufisadi mkubwa mda sio mrefu
 
Chini ya dr Menard Kalemani tuliambiwa tanesco tayari ilikua inajiendesha yenyewe na taarifa ya mwisho ya hesabu shirika lilianza kupata faida.

Asili ya tanesco kua mzigo ni kugeuzwa shamba la bibi na wapigaji. Mikataba ya uzalishaji ya kinyonyaji na makampuni binafsi na ubadhilifu wa vigogo ndio ilikua kawaida.

Baada ya Rais kumuondoa Kalemani na kumuweka Januari Makamba watu wameshituka. Huo ndio ukweli mtupu. Wananchi hawamuamini Januari kutokana na kauli zake na kundi lao kukejeli na kudharau juhudi za Magufuli alipokuwa Rais.

Makamba ameanza kuweka watu wake kwenye bodi wakiwepo wafanyabiashara wakubwa halafu mara shirika linaingia mkataba wa kukodi software eti ya managrment kwa dola za kimarekani milioni 30.

Kama Serikali imefanya uchunguzi wa nani anataka kupewa kandarasi za kujenga meli za shirika la meli 'due diligence' na kukuta madudu ya kutisha tungependa wafanye pia uchunguzi kama ilikua lazima kukodi software ya management na kwa bei hiyo kubwa ya kushangaza. Na pia kama utaratibu wa manunuzi wa serikali haujakiukwa.

Kuna watu nchini wanasifiwa tu wakati ujuzi wao ni kutoa kandarasi za kipigaji tu. Inavyofahamika nchini kuna wajuzi wazuri wa tehama na wameweza kutengeneza software nzuri zinatumika na serikali. Hawa kina Januati na timu yake ameweka tanesco ni sawa na wale walitaka kupeleka ndege ya air tanzania afrika ya kusini kuweka nembo na maandishi ya kampuni kwa dola millioni kadha.

Ikiwa tunataka kuendelea lazima tusimamishe upigaji.

Kwa hivyo tunataka uchunguzi wa ukodishaji hiyo software vinginevyo hayo ya bandari tutaona ni 'selective' action kufanya show tu. Ni mambo yale ya awamu ya nne yaani usanii tu.
Tuchunguze uhitaji wa hiyo Software ,halafu taratibu za upatikanaji
 
Kuna watu wengi wameshalipia kuunganishiwa umeme, wanapigwa danadana, hizo pesa si bora zingeenda kununua meter na vifaa ili watu wengi wapate umeme TANESCO waendelee kukusanya pesa za mauzo ya umeme?

Kwani tatizo la ufanisi wa TANESCO ni kukosekana kwa ERP au mfumo mbovu?
Huku tutachukua mda kupata 10% .tunachukua kwanza liliyopo mezani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom