Asante Rais Samia kwa Kumtumbua Maharage wa TANESCO. Naomba apelekwe Mahakamani

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Maharage katutesa sana Watanzania. Alikuwa anakata umeme kila anapojisikia ili biashara ya Jenereta itoke. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho.

Rais huwa yupo sahihi. Ila naomba nimshauri tena, TTCL inajifia, jamaa anaenda kuimaliza mazima. Nashauri asitupe jongoo na mti wake, bali ampeleke kuwa Afisa tawala Huko Nangurukuru. TTCL apewe Mhandisi Mujuni Kiyaruzi.

Pia kutumbua angeanza na Mhandisi Felchesmi Mramba sababu wanakula ni Msiri wa Maharage. Wanakula wote. Vizuri angevunja mnyororo mzima. Makamba, Maharage wametoka. Mramba je?

takukuru.jpg

Kazi tuwaachie TAKUKURU. Ipo hivi, Rais Samia kamuondoa pale ile TAKUKURU mfanye uchunguzi wenu kuhusu Ufisadi wake kwa Uhuru. Sasa kazi ni kwenu. Au mnasubiri hadi Rais Samia awaelekeze cha kufanya? Mpunguzieni mzigo.

Achaneni na kesi za dagaa za Elfu 50. Hawa wa MABILIONI ndo mukae nao sawa.

Pia soma;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho

Pia nisome;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Usikubali kupumbazwa mkuu. Maharage ni kama Blandina Nyoni tu. Hao wapo kazini muda wote, kazi zao si kufanya chochote bali kuandi reports na kushauri wakuu wao.
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho

Pia nisome;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Kwanza amepewa tuu jukumu jingine,pili Nasubiria kuona kama umeme Utawaka.
20230922_080341.jpg
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho

Pia nisome;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Kakutesaje ndugu yangu. Na bado utasema kuwa Gissima Nyamo-Hanga anakutesa. Ukiisha kuwa na roho ya kwanini hata awekwe baba yako bado tu utateseka.
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho

Pia nisome;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Kwa hiyo mkurugenzi wa Habari Maelezo ndio atakuwa Salim Chikeke au?

Msigwa angekuwa Katibu Mkuu wa Habari pale Kwa Abbas harafu yule Abbas ndio aletwe huku michezo.
 
Maharage katutesa sana. Hii iwe fundisho. TISS na TAKUKURU hakikisheni haki inatendeka. Maharage apelekwe korokoroni au msafisheni kwamba hana Ufisadi Tanesco.

Rais Samia, hapa umeupiga mwingi. Mtumbue na Januari Makamba. Ili iwe fundisho

Pia nisome;

Kama maharage ndio anamiliki call centre ya TANESCO akae pembeni kabla Waziri Biteko hajafika

Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu
Maharage hajatumbuliwa bali kahamishwa idara na sasa yupo TTCL.
 
Apelekwe kwamba ndiye kazuia mvua?
Kwamba ndiye alianzisha mradi wa bwawa?
Actually tatizo la umeme litaendelea kuwapo, hadi mwishoni mwa Febr.2024 pale ambapo tunategemea mzigo wa Jenereta tulioingiza nchini uishe. Store bado mzigo ni wa kutosha
 
Mambo yameharibika ndio akili zinawarudia. Tulishasahau mgao wa umeme alafu mnaturudisha huko kihuni tu. Nimefurahi mama kupeleka Meja Jenerali kuwa mwenyekiti bodi ya Tanesco.
 
Back
Top Bottom