Katiki Lamsala
Member
- Jun 11, 2008
- 73
- 43
Uko sahihi kabisa. Binafsi huwa siwaelewi wanaona mshahara kulipwa mapema ni jambo la kusifia.Kutoka tarehe 27 ya mwezi wa tatu mpaka tarehe 27 ya mwezi wa nne ni siku 30.
Kutoka tarehe 22 na mwezi wa watu mpaka tarehe 22 ya mwezi wa nne ni siku 30.
Kujali watumishi sio kupunguza namba za tarehe bali ni kuongeza namba za mshahara.
Matatizo yanabakia pale pale, sababu mshahara hautoshi matumizi ya siku 30/31.
Cha kupigania hapo, ni kuomba mishahara iongezwe ili angalau itosheleze matumizi ya siku 30.
La sivyo, watarudi nyuma toka 25, ikaja 22 halafu tuende 15 na baadae tutarudi kwenye ile ile tarehe ya awali, 30/31!