Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Kivipi? Toa ufafanuzi kidogo mkuuMoja kati series zilizonivuruga kichwa
Kivipi? Toa ufafanuzi kidogo mkuuMoja kati series zilizonivuruga kichwa
Radha zangu, ngoja niishushe
Alafu kuna sehem kuna ushoga mleWakuu hii House of dragon mbona kama haina mzuka kabisaa maana kila episode naiona haijakaa poa
Ushoga Tena ??? Duh hatari sanaAlafu kuna sehem kuna ushoga mle

Nitaicheki bado napambana na Only Murder in the house.
Ninayo hii aisee natamani kama kungekuwa na mwendelezo maana ni series fulani hiv tam SanaTayari nishaikubalihapo tu usieleze zaidi
![]()
Sasa sijuii kama Kuna season 2 wakuu ukitoka season 2 tuambianeThe old man kama itakuja kuwa moto hivi
Nlkua sipendi series zamani ila kwa sasa nmekua addicted na mpaka sasa nmecheck series baadhi na sasa npo na hiyo THE LAST SHIPThe last ship,
Beauty&the beast,
Tyrant,
Hiii naitafuta mkuu thanksTayari nishaikubalihapo tu usieleze zaidi
![]()
Hii nshaimaliza ni hatari nliipenda..TERMINAL LIST
Inahusu Mambo ya Covert Operations
Seal Team wamepewa op kumfuata mtu fulani, kumbe ni mtego
Wakafa akabaki 1
Huyo mmoja baadae akafatilia akagundua ni setup, na imefanywa na wakubwa wake
Kumbe walipewa dawa za majaribio na majaribio yakaenda vibaya wote wakaota uvimbe kichwani, hivyo wahusika wakaona wateketeze kikosi chote
Baada ya kufatilia na kuua watu wote, akabaki 1 kumbe ni mtu wake wa karibu, na amekuwa naye kwenye op ya kuua wahusika wote
Yani we acha tu uandae mbavu