Mie kwa mtazamo wangu na jinsi nilivyoikuta sikutegemea kwenye season 1 yaan wamecopy Kama asilimia 90 ya original money heist nipende kusema ni utopolo tu maana nilicheki episode mbili nikaachana nayo.Money Heist ya wakorea vipi wazee iko poa niishushe?
Nasubiri ziishe zote ndio nizipakue.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mwenye link ya Ozark ya telegram naona anitumia PM please!
How do u find it??? I mean the last ship.....this is Nathan James over?
Inahusu nini mzee
dah kwenye kuelezea mimi sio mzuri sana ila inahusu mambo ya espionageInahusu nini mzee
Thanks for this recommendation mkuu. Nakazia hapa.. this one is a must watch.The Spy nisikuwahi kuiona awali ila baada ya kuicheki nimeikubali...mtaalam Eli Cohen
Niliiweka pending muda sasa ngoja niipakue tu....dah kwenye kuelezea mimi sio mzuri sana ila inahusu mambo ya espionage
China na Russia kuingilia mitambo ya UK
Mambo ya mi6, cia n.k
afu wakai cancelSeason 2 imeizidi kuwa 🔥 ishushe fastaNiliiweka pending muda sasa ngoja niipakue tu....
Isijekuwa kama the Bodyguard ilivyokuwaafu wakai cancel
Episode 4 za 🔥🔥🔥 so far
Moja kati series zilizonivuruga kichwaUmu Kuna mtu anacheki West world ni Kali ?