MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,094
How to get away with murder
Ukiweza cheki Hadi ya 3, hizo zingne achana nazo dir wanawaua ovyo baadhi ya watu wazuriNimemaliza season 1 apo japo so kali kiivo
😅 😅 😅Ukiweza cheki Hadi ya 3, hizo zingne achana nazo dir wanawaua ovyo baadhi ya watu wazuri
Hii breaking bad naitafutia time niichk coz inasifiwa mnoo, hadi uy
Ndugu hii ndio season kalii kiliko zote duniani kule IMDb ina rate 9.5 game of throne aiifikii kwa uzuri hata kidogo breaking bad ni yamoto sanaHii breaking bad naitafutia time niichk coz inasifiwa mnoo, hadi unataka kuirudia mzee![]()
Shukran mkuu kwa suggestion, nitaitafutia mda aiseeSeason 2 imeshatoka?Huu mzigo McMafia nilikuaa nauchukulia poa ila umesimama balaa..
Ni nzuri kwenye upande wa story maana kilikuwa kikundi cha makomandoo waliopewa kazi ya kwenda kumuokoa kiongozi wa Nigeria aliyetekwa na boko haram sasa kufika huko wanamkuta uyo kiongozi yupo free na anamkamata mateka wa kike akambake, sasa wanataka wamuue uyo kiongozi na wanajeshi wa boko haram ila si unajua wajeda wanatii amri so wanaamua wamchukue uyo kiongozi katika harakati za kuondoka nae uyo kiongozi wanatokea wasichana hawazidi watano wanaomba wawaokoe so katika iyo mishe wanatafuta mishe ya kupata usafiri ila wakiwapigia watu wao hawapatikani so wanatembea jangwani umbali mrefu bila chakula wala maji baada ya maji kuwafika shingoni so wanaamua kuwapigia wamarekani kwa ajili ya msaada na amri inatoka toka uongozi wa jeshi la Marekani kwamba wanatakiwa wawabebe wanajeshi na uyo kiongozi tu na sio hao wasichana so kitendo iko kiliwauma wanajeshi hao kwa kuwaacha hao watoto jangwani peke yao so mmoja wapo wa hao wanajeshi akaanza kupanga njama za kuwaua wenzake na uyo kiongozi coz anaamini wamewaua hao wasichana ila dhumuni la kuwaacha hao wasichana ni kwamba waliwatambua hao si jeshi la wamarekani bali ni waholanzi na pia wakifika Nigeria watatoa siri ya uyo kiongozi ambaye atapandikizwa baadae na kuwa waziri mkuu ili awanufaishe wazunguHiv hii commandos ni mzigo mkali mkuu?
Bonge la dude hili nimeangalia hadi season ya 3 hii kila season ina utamu na ni moja ya series inayonifanya niwe nafuatilia story za kiharabu baada ya homeland na tyrantKitu kutoka Israel.View attachment 1693578
Angalia tu mzee sasa hapo ni trailer kuna season ya 2 na 3 ndio moto wa kuotea mbaliNimeianza nipo s01e10 naiona nzuri.
Angalia the barbarianSeries gani nyingine yenye maudhui kama ya GOT,Viking,Last Kingdom
Dah inaonesha ni mzigo mkali sana mkuu. Ngoja nitaushushaNi nzuri kwenye upande wa story maana kilikuwa kikundi cha makomandoo waliopewa kazi ya kwenda kumuokoa kiongozi wa Nigeria aliyetekwa na boko haram sasa kufika huko wanamkuta uyo kiongozi yupo free na anamkamata mateka wa kike akambake, sasa wanataka wamuue uyo kiongozi na wanajeshi wa boko haram ila si unajua wajeda wanatii amri so wanaamua wamchukue uyo kiongozi katika harakati za kuondoka nae uyo kiongozi wanatokea wasichana hawazidi watano wanaomba wawaokoe so katika iyo mishe wanatafuta mishe ya kupata usafiri ila wakiwapigia watu wao hawapatikani so wanatembea jangwani umbali mrefu bila chakula wala maji baada ya maji kuwafika shingoni so wanaamua kuwapigia wamarekani kwa ajili ya msaada na amri inatoka toka uongozi wa jeshi la Marekani kwamba wanatakiwa wawabebe wanajeshi na uyo kiongozi tu na sio hao wasichana so kitendo iko kiliwauma wanajeshi hao kwa kuwaacha hao watoto jangwani peke yao so mmoja wapo wa hao wanajeshi akaanza kupanga njama za kuwaua wenzake na uyo kiongozi coz anaamini wamewaua hao wasichana ila dhumuni la kuwaacha hao wasichana ni kwamba waliwatambua hao si jeshi la wamarekani bali ni waholanzi na pia wakifika Nigeria watatoa siri ya uyo kiongozi ambaye atapandikizwa baadae na kuwa waziri mkuu ili awanufaishe wazungu
Mkubwa nisaidie link ya hii makitu asee. Cjaipata badoNi nzuri kwenye upande wa story maana kilikuwa kikundi cha makomandoo waliopewa kazi ya kwenda kumuokoa kiongozi wa Nigeria aliyetekwa na boko haram sasa kufika huko wanamkuta uyo kiongozi yupo free na anamkamata mateka wa kike akambake, sasa wanataka wamuue uyo kiongozi na wanajeshi wa boko haram ila si unajua wajeda wanatii amri so wanaamua wamchukue uyo kiongozi katika harakati za kuondoka nae uyo kiongozi wanatokea wasichana hawazidi watano wanaomba wawaokoe so katika iyo mishe wanatafuta mishe ya kupata usafiri ila wakiwapigia watu wao hawapatikani so wanatembea jangwani umbali mrefu bila chakula wala maji baada ya maji kuwafika shingoni so wanaamua kuwapigia wamarekani kwa ajili ya msaada na amri inatoka toka uongozi wa jeshi la Marekani kwamba wanatakiwa wawabebe wanajeshi na uyo kiongozi tu na sio hao wasichana so kitendo iko kiliwauma wanajeshi hao kwa kuwaacha hao watoto jangwani peke yao so mmoja wapo wa hao wanajeshi akaanza kupanga njama za kuwaua wenzake na uyo kiongozi coz anaamini wamewaua hao wasichana ila dhumuni la kuwaacha hao wasichana ni kwamba waliwatambua hao si jeshi la wamarekani bali ni waholanzi na pia wakifika Nigeria watatoa siri ya uyo kiongozi ambaye atapandikizwa baadae na kuwa waziri mkuu ili awanufaishe wazungu
Hii makitu unatakiwa uipatie muda, season 2 and 3. Usipozipenda, basi asee, ila ni kitu kitamu sana!Nimeianza nipo s01e10 naiona nzuri.
Hii series kali hasa season 3.Hii makitu unatakiwa uipatie muda, season 2 and 3. Usipozipenda, basi asee, ila ni kitu kitamu sana!
Inaitwa In TimeWakuu kuna movie flani hivi
Watu wanakua na muda ambao watatumia kuishi kwenye mwili wao na unaonekana, pia unaweza kumwibia mwenzako muda wake.
Biashara kubwa ni ya muda, na watu wanauza muda wao ili wanunue vingine etc
Inaitwa In Time