Series (Special thread)

"Captain Sobel, we salute the rank, not the man" Major Dick Winters.

Nimetoka kumaliza TV Series ya Band of Brothers, ni series inayohusu story ya kombania E kutoka katika kikosi cha askari wa miamvuli (paratroopers) katika jeshi la Marekani namna walivyoshiriki katika vita vya pili vya dunia, narudia tena kusema ni bonge moja ya kitu, kama haujaitazama itafute.
 
Je unakuwa online au watakt unachek ambazo umezishusha tayr
 
Dah! Bonge la series aisee na uyo mzee humo kacheza Sana nilikuwa napenda harakatii zake za kutafuta hela ili apige mtungi 😆😆😆
Nimeangalia mwanzo mwisho hii series.
 
Mkuuu vip money heist na dark ipi kali maaana nataka kuanza moja wapo
Story mbili tofauti mzee so anza uitakayo ingekuwa inahusu kitu kimoja ningekwambia ipi ni nzuri ila zipo tofauti cha kukushauri kama wewe ni fuata mkumbo wa kuangalia series zenye actions tu na sio kuelewa series kwa umakini basi achana na Dark coz inahitaji umakini mkubwa
 
Baharia, nisaidie link! Jamaa katupia za kiarabu! Nimesearch English subtitles nimekosa!
Sijui wengine mkienda telegram mnapataje series ila Mimi naandika kwenye search pale jina la series kwa mfano Tehran kama picha inavyoelezea then unaingia hapo kwenye sehemu niliozungushia kwa rangi nyekundu ukifika humo click izo link utakuta episodes na subtitles zake so nimepata kuanzia episode ya 1 mpaka ya 5 zikiwa zina subtitles za english so hizi 3 zilizobaki ambayo kuanzia ya 6 mpaka ya 8 ndo hazina ila nitajua wapi pa kuzipata ila nikizipata subtitles zake nitashare
 

Attachments

  • Screenshot_20201014-064227.png
    69.6 KB · Views: 19
Mie nimeangalia kidogo....nimecheka pale yale madogo yalikuwa yanaenda kwao binti yanazuga kusoma.....kumbe binti anayanyonya mb***. Dingi alipostuka.....msalaa....dah
Dah! Bonge la series aisee na uyo mzee humo kacheza Sana nilikuwa napenda harakatii zake za kutafuta hela ili apige mtungi

Nimeangalia mwanzo mwisho hii series.
 
Bonge ya TV show aisee. Naipenda sana...
 
Nani anaangalia NEXT???

Mambo ya computer,hacking na rise of AIs? ( Artificial Intel) gone rogue
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…