MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,232
- 14,197
Series za Sci-fi huwa siziachi hivi hivi.. Asante kwa infoNinscience fiction ya viteenager vi 4 vilikuwa vinamaakili sana vikajikuta vinatest mambo ambayo vikagundua dunia ya pili iliyo kama hii ambayo kuna wanasayansi walikuwa wanajifanyia kazi kwa msaada wa kukateka kasichana ambako kana super natural powers wanazozihitaji kufanikisha zoezi Lao