Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 761
Basi achana nayo huiweziInakuja noga season ipi maana nilianza season 1 ikanichosha 😊😊
Basi achana nayo huiweziInakuja noga season ipi maana nilianza season 1 ikanichosha 😊😊
Vp mwisho inanoga mwanangu? Nipo season 2 dah naipenda inanisumbua tu kuconnect dot wakiwa 53,86,19 na futureBasi achana nayo huiwezi
8/10Wakuu nataka nianze kuicheki Fauda, vipi mlioiangalia mnaipa marks ngapi?
8/10
Sema huo mzigo ukiwa na uchovu utatoka kapa, akili inabid iwe activePoa nshaanza season one, nipo episode ya 10 mzigo nimeuelewa!
Sema huo mzigo ukiwa na uchovu utatoka kapa, akili inabid iwe active
Madubwana yangu haya! Ngoja nipakue for weekend soup!Wale wapenzi wa series za beef Kati ya waarabu na israel ambao mliofuatilia pia Fauda Basi mzigo mwingine huu unaenda kwa jina la TEHRAN unaonyeshwa na apple tv plus ambao this time ni ujasusi kati ya Israel na Iran.
Baharia tupia link asee naona Telegram bado hapajasoma!Wale wapenzi wa series za beef Kati ya waarabu na israel ambao mliofuatilia pia Fauda Basi mzigo mwingine huu unaenda kwa jina la TEHRAN unaonyeshwa na apple tv plus ambao this time ni ujasusi kati ya Israel na Iran.
Hahahaha wewe tenaMadubwana yangu haya! Ngoja nipakue for weekend soup!
Baharia, nisaidie link! Jamaa katupia za kiarabu! Nimesearch English subtitles nimekosa!Hahahaha wewe tena
Mkuu utanilipa MB zangu! Nimeambulia lugha ya Mtume!
Mkuu linkView attachment 1588616
Mziki huu hapa...twende sawa!
Tumia MX player kwenye simu then unaenda kwenye option ya subtitles then unadownload subtitles online na unafanya hivyo kwa kila episodeMkuu utaniliba MB zangu! Nimeambulia lugha ya Mtume!
Ndo ninayotumia, wananambia no subtitles while nshashusha mzigoTumia MX player kwenye simu then unaenda kwenye option ya subtitles then unadownload subtitles online na unafanya hivyo kwa kila episode