Jiwe_Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 416
- 806
Ni hii yenye season 12 au?Ckia mzee.. Sikuhzi kudownload movie sio kazi kabsa....
Download telegram.. Then search movie unayotaka... Utazikuta...
Ni hii yenye season 12 au?Ckia mzee.. Sikuhzi kudownload movie sio kazi kabsa....
Download telegram.. Then search movie unayotaka... Utazikuta...
Ni hii yenye season 12 au?
The big bang theorySeries ipi ??
Series au movie yoyote ikishakuwa na fictions za super nature au mambo cjui jamaa ana super pawa hadi anapaa angani hapana aisee
YesThe big bang theory
nilishaangalia yote young sheldonYes
Ila anza na young sheldon
tatizo upo serious sana na moviesSeries au movie yoyote ikishakuwa na fictions za super nature au mambo cjui jamaa ana super pawa hadi anapaa angani hapana aisee
Sometimes kuna raha ya kufuata mtiririko wa kuanzia mbele na kurudi nyuma kama wao wenyewe wanavyozitoa. Maana The big bang theory ndo inaanza halafu ikaja Young Sheldon ambayo ni ya juzi juzi na bado haijaisha. Sasa mtu ataanzaje kuangalia Young Sheldon halafu aishie njiani then aende mbele?Yes
Ila anza na young sheldon
Kati ya sistas na the oval ipi kali angalau nishaanza kudownload sistas?.Wapenzi wa drama za perry tyler tujuane kabisa...
Kama unapenda drama angalia hizi za perry tyler
1. The oval..
Series inaelezea kuhusu familia ya rais wa marekani ilivyokuwa na maisha vya ovyo ndani ya ikulu ya marekani.. Bonge moja ya drama.. Nakushauri itafute mapema
2. If loving you is wrong
Inaelezea marafiki 5 jinsi maisha yao na misuko suko.. Humu full kusalitiana... Series bora kwanfu kuwahi kuitazama
3. The haves and haves not... Series inaelezea binti wa kimasikini akitafuta utajiri kwa hali na mali kwenye familia ya kitajili
4.Sistas
Yeah kweli hbo wako vizuriPoa ila ikishaona HBO isiwaze we nenda tu kaangalie jamaa wanatoa series za kinyama
Oval then if loving you is wrongKati ya sistas na the oval ipi kali angalau nishaanza kudownload sistas?.
Ila series ambayo niliikubali ni too close to home ila iyo if loving you is wrong niliacha Kati coz ina episodes nyingi series za uyo jamaa
Oval nimeishusha yote ila nimepata uvivu wa kizembe sana, mpaka leo sijaanza hata ep01Oval then if loving you is wrong
Anza hata kwa dakika 5 hv... Unapata bonge moja la vibes... Hutojutia kabsaOval nimeishusha yote ila nimepata uvivu wa kizembe sana, mpaka leo sijaanza hata ep01
The oval kitu kikali sana!Nimefika episode ya 25 bila kujua!Tatizo ni kwamba uhondo unakolea halafu season 2 haijatoka!Kati ya sistas na the oval ipi kali angalau nishaanza kudownload sistas?.
Ila series ambayo niliikubali ni too close to home ila iyo if loving you is wrong niliacha Kati coz ina episodes nyingi series za uyo jamaa
Kabisa mkuu,anaweza kujikuta amekesha!Anza hata kwa dakika 5 hv... Unapata bonge moja la vibes... Hutojutia kabsa
Mpk inaumiza kichwa ukitaka kuexplain family tree ya wale jamaaKwa wale ambao bado hamjaangalia dark , kuna kitu mnakosa aisee
Inaumiza kichwa kishenzKwa walioangalia Dark nisaidieni kuelewa dude hili, nimelipenda lakini natoka kapa kiaina fulani characters n wengi balaa iyo time travel sasa.. 53,86 na 19...
Baba wa jonas n nani??? Na mtt wa mwisho wa unrich ana uhusiano gani na Mads?