Series (Special thread)

Series (Special thread)

Sema kusema ukweli season 1 ni kali sana kuliko hata 2( kwa maoni yangu) naona imekaa kisiasa sana
uzuri ni kila season imejaribu kuangazia zaidi muelekeo wa siasa za kimagharibi..
  1. vita ya ugaidi
  2. mapambano ya kukwapua rasilimali kwa mataifa masikini kwa kujificha kwenye mwamvuli wa kupigania demokrasia
 
  1. "Season" is usually used to refer to just the episodes that air in one year or program run
  2. "Series" is used for the whole show no matter how long it runs.
eg
jack ryan (series) season 1 and 2.
sijui kosa langu liko wapi
Uko sawa kiongozi, nadhani nilisoma haraka ingawa hiyo shida ipo sana mitaani ya kuswich hayo maneno.
 
Ma Alliens walikuja duniani (Marekani) wakaweka Utawala wa binadamu wao wakiwa huko kwenye sayari yao

Baadhi ya binadamu (hawa waliitwa resistance) wakawa wanapinga kutawaliwa na Alliens hivyo wakawa wanawashambulia hawa wenzao/Serikali iliyopo madarakani walioitwa collaborators

Wakati huo huo resistance wakawa wana makundi tofauti na sera tofauti tofauti hivyo sometime wakawa wanapambana wao kwa wao.

Kwenye haya makoloni (majimbo kama LA, Seattle n.k.) pamoja na kuwa na majeshi ya binadamu kuna drones za aliens, Wananchi wakizingua au resistance wakizingua zinakuja kuwaua, ikitoa risasi inasambaratisha mwili kama bomu vile. Pia kuna ukuta mkubwa sana unaotenganisha kati ya Colony moja na jingine.

Baadae inakuja kubainika kuwa hawa Alliens kumbe wamekuja duniani na chanzo chake ni kuandaa mazingira ya kupigana na madui zao ambao nao wanatoka sayari nyingine

Baadae inaonekana kama resistance wanakuwa upande wa hao viumbe wengine na wale collaborators wanakuwa upande wa Alliens

Kuna Sara Tancred wa Prison Break, mke wa Sawyer wa Lost, kuna mwamba anaitwa Broussard wote wamezitendea haki nafasi zao

Ipo season ya 3 ndio tunasubiri ya 4 mkuu, icheki utaipenda tu
Inahusu nin mzee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom