Series (Special thread)

Series (Special thread)

Poa nenda kaitafute kitu kinaitwa Jack Ryan zipo seasons 2 mpaka sasa na hazina episodes nyingi ndani sijui episodes 20 au 15 kwa kila season hapana!.
Jack Ryan ni mtu wa analyst ndani ya FBI so kazi kubwa ni kuanalyse transactions zote za Kipesa za watu wa wanaotafutwa na marekani so hajui chochote kuhusu kwenda fieid au vitani na kupambana ila kinachomfanya atolewe kufanya kazi za desk job ni uwezo wake wa kufikiri, maamuzi magumu na uchangiaji wake wa mawazo kwenye vikao vikubwa vya FBI.
Hii series Ina story tofauti na imepigwa nchi tofauti pia
So I hope utaenjoy na Kama umeiona niambie nikupe nyingine.
Series zoote zitakuja kuhusu anti terrorism lakini kwa strike back zitakaa na kusubiri. Wale jamaa hawana maongezi mengi. Ni chuma chuma. Gun zinapigwa sio kitoto. Series nyingine unakuta ni story kama episod 2 mfululizo afu ikija action ni ya dakika 8.
Emu wadau tutajiane series zenye hadhi ya STRIKE BACK. Mimi napenda sana action, though uwezo mkubwa wa kusikiliza strategic story kwenye ant terrorism nazo napenda na ninao.
 
Series zoote zitakuja kuhusu anti terrorism lakini kwa strike back zitakaa na kusubiri. Wale jamaa hawana maongezi mengi. Ni chuma chuma. Gun zinapigwa sio kitoto. Series nyingine unakuta ni story kama episod 2 mfululizo afu ikija action ni ya dakika 8.
Emu wadau tutajiane series zenye hadhi ya STRIKE BACK. Mimi napenda sana action, though uwezo mkubwa wa kusikiliza strategic story kwenye ant terrorism nazo napenda na ninao.

Ukweli ni kwamba STRIKE BACK ni series ya kawaida sana

Wewe unapenda mabunduki ndo kinachokufanya uone ni kali

Ila kiukweli ni ya kawaida mno tena sana

Unapoongelea anti-terrorism basi iongelee 24 iongelee hiyo jack ryan pia japo ni ya kawaida ila nzuri kuliko strike back
 
Ukweli ni kwamba STRIKE BACK ni series ya kawaida sana

Wewe unapenda mabunduki ndo kinachokufanya uone ni kali

Ila kiukweli ni ya kawaida mno tena sana

Unapoongelea anti-terrorism basi iongelee 24 iongelee hiyo jack ryan pia japo ni ya kawaida ila nzuri kuliko strike back
Huo ni wako mtizamo nenda kaangalie imdb ratings.
Tusubiri wajuvi wengine waje.
 
Ukweli ni kwamba STRIKE BACK ni series ya kawaida sana

Wewe unapenda mabunduki ndo kinachokufanya uone ni kali

Ila kiukweli ni ya kawaida mno tena sana

Unapoongelea anti-terrorism basi iongelee 24 iongelee hiyo jack ryan pia japo ni ya kawaida ila nzuri kuliko strike back
Kweli strike ilinishinda Ni series ya kitoto..mabunduki bila story ya maana..
 
Kweli strike ilinishinda Ni series ya kitoto..mabunduki bila story ya maana..
Usitake niambia strike back inahitaji focus sana na utulivu. Inaonekana ulikosa kabisa hata chembe ya focus na utilivu. Try again ma men.... utaona jamaa series imepangwa ile ikapangika. Tukio baada ya tukio tena kwa mfuatano mzuri. Nimejaribu kuziona series nyingine za action kwa kweli sio kwamba ni mbaya ila zinahitaji sana focus na utulivu utadhani upo kwenye pindi la STEREO ORGANIC CHEMISTRY au THEORY OF RELATIVITY. Enjoy series sio kama vile upo umepewa assignment ya kufanya
 
Iyo inapendwa ulaya huko lkni watu wanaofuatilia series huku kwetu hawaiongelei au kuipenda coz Ina ipa promo mapenzi ya jinsia moja na kubadilisha jinsia so haina tofauti sana na Oz au L word (Hizi ni series za kusupport mapenzi ya jinsia moja)
Na wewe kama sikosei ni kati ya watu sidhani hata watatu ka mnafika kuitaja\kuifuatilia hii series kwenye huu uzi
Vipi kuhusu zinazo "promote" mapenzi ya jinsia tofauti? Hizo hazina shida!??

Hivi huwa wana "promote"?

Ku "promote" maana yake nini?
 
Tofauti yetu na wao ni kwamba sisi tupo kama mbuni anayeficha kichwa kichakani huku mwili mzima ukiwa nje halafu anaamini ameshajificha! Orange is a New Black wao wanaelezea uhalisia uliopo kwenye magereza yote; iwe ya Marekani au Afrika! Ikiwa hata shule zetu za boarding za kike, wasichana kwa wasichana wanashiriki mapenzi ya jinsia moja; what about kwenye magereza yetu?!.
Utawaweza hawa watanganyika kwa unafiki.

Ni kama vile huko Tanganyika huwa hakuna mashoga wakati yapo yamejaa kila kona!

Na kazi ya fasihi ni kueleza yale yaliyopo kwenye jamii.

Watanganyika wamekuja na msamiati mpya kwamba series zina "promote" ushoga!! Sijui hata ku "promote" maana yake ni nini!

Mbona sikusikia malalamiko kwamba series hizo hizo zina "promote" mapenzi ya jinsia tofauti?

Filamu za wazungu zimejaa ngono za kila aina! Lakini kwenye ushoga ndipo pana "promotion".

Una "promote" nini kitu ambacho kipo kwenye jamii?

Promote???!!!!!!!!!!!!
 
Usitake niambia strike back inahitaji focus sana na utulivu. Inaonekana ulikosa kabisa hata chembe ya focus na utilivu. Try again ma men.... utaona jamaa series imepangwa ile ikapangika. Tukio baada ya tukio tena kwa mfuatano mzuri. Nimejaribu kuziona series nyingine za action kwa kweli sio kwamba ni mbaya ila zinahitaji sana focus na utulivu utadhani upo kwenye pindi la STEREO ORGANIC CHEMISTRY au THEORY OF RELATIVITY. Enjoy series sio kama vile upo umepewa assignment ya kufanya
Ni kweli kabisa Ni rahisi kueleweka lakini..sio fikirishi
 
gangs of london ni bonge moja ya series unaweza ukaiweka kundi moja na treadstone series

Siku niliyodownload hii series nikasema ngoja niangalie episode moja alafu nilale asee nikajikuta nimekesha nikamaliza yote maana kila episode moja inavyoisha ndivyo nyingine inakupa hamasa ya kuangalia nyingine
 
Siku niliyodownload hii series nikasema ngoja niangalie episode moja alafu nilale asee nikajikuta nimekesha nikamaliza yote maana kila episode moja inavyoisha ndivyo nyingine inakupa hamasa ya kuangalia nyingine
harafu the 1st episode ni the longest episode 1 hr 26 mins.
 
Black Crows..

Wapenda Series Za Persians/Arabs Za Ubabe Sana Mzigo Huo Unasikitisha Sana na Ukatili Wa Kibabe Sana Kama Unaweza Mudu Roho Ngumu Tembea Nayoo

Hii Kama FAUDA Fulani Sema Humo Ubabe na Ukatili Umezidi

Inaelezea Sana IS Na Shughuli Zake Kuanzia Recruitment , Operations na Miongozo Yao Pia Mwanamke Ananafasi Ipi Kwenye IS


Ipo Complete Season 1 Episode 30
IMG-20200619-WA0004.jpg
 
Black Crows..

Wapenda Series Za Persians/Arabs Za Ubabe Sana Mzigo Huo Unasikitisha Sana na Ukatili Wa Kibabe Sana Kama Unaweza Mudu Roho Ngumu Tembea Nayoo

Hii Kama FAUDA Fulani Sema Humo Ubabe na Ukatili Umezidi

Inaelezea Sana IS Na Shughuli Zake Kuanzia Recruitment , Operations na Miongozo Yao Pia Mwanamke Ananafasi Ipi Kwenye IS


Ipo Complete Season 1 Episode 30View attachment 1483313
Telegram naona za Kiarabu na Ki-hebrew, ya kiingereza umepakua wp?
 
Mzee baba, we bwabwa?
Utawaweza hawa watanganyika kwa unafiki.

Ni kama vile huko Tanganyika huwa hakuna mashoga wakati yapo yamejaa kila kona!

Na kazi ya fasihi ni kueleza yale yaliyopo kwenye jamii.

Watanganyika wamekuja na msamiati mpya kwamba series zina "promote" ushoga!! Sijui hata ku "promote" maana yake ni nini!

Mbona sikusikia malalamiko kwamba series hizo hizo zina "promote" mapenzi ya jinsia tofauti?

Filamu za wazungu zimejaa ngono za kila aina! Lakini kwenye ushoga ndipo pana "promotion".

Una "promote" nini kitu ambacho kipo kwenye jamii?

Promote???!!!!!!!!!!!!
 
Black Crows..

Wapenda Series Za Persians/Arabs Za Ubabe Sana Mzigo Huo Unasikitisha Sana na Ukatili Wa Kibabe Sana Kama Unaweza Mudu Roho Ngumu Tembea Nayoo

Hii Kama FAUDA Fulani Sema Humo Ubabe na Ukatili Umezidi

Inaelezea Sana IS Na Shughuli Zake Kuanzia Recruitment , Operations na Miongozo Yao Pia Mwanamke Ananafasi Ipi Kwenye IS


Ipo Complete Season 1 Episode 30View attachment 1483313
Nitaitafuta hii maana series ya Fauda ni series unique I hope na hii haitaniangusha.
Sema nimeitafuta Wikipedia kwa jina ilo kumbe ina jina maarufu la Gharabeeb soud
 
Siku niliyodownload hii series nikasema ngoja niangalie episode moja alafu nilale asee nikajikuta nimekesha nikamaliza yote maana kila episode moja inavyoisha ndivyo nyingine inakupa hamasa ya kuangalia nyingine
Bonge la series iyo na ina story tofauti Sana kama yule mchizi Elliot kacheza sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom