xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,134
- 7,313
Bando lako litaenda kihalali,unakutana na mfumgwa mwanasheriaWakuu kuna mtu yeyote amecheki FOR LIFE naomba anipe hints kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bando lako litaenda kihalali,unakutana na mfumgwa mwanasheriaWakuu kuna mtu yeyote amecheki FOR LIFE naomba anipe hints kidogo.
Baharia unaidownload Fauda kwa kutumia link gani asee, naisaka hii makitu. Help pse!Dah! Nilichopenda hii series kila season inayofuata inakua kali kuliko inayofuata sio kama designated Survivor season ya kwanza ni kali kuliko ya 2.
Kwa mfano hii Fauda s03 imefunika seasons za nyuma maana kuna mission moja ya kwenda Gaza ni balaa aisee na nimejua why Israel wanaiogopa Gaza
Hii for life ni hatar mnoo umooWakuu kuna mtu yeyote amecheki FOR LIFE naomba anipe hints kidogo.
Hahaha mm nilidownload hadi season 4 nika delete zote , hakuna kitu palehuna tofauti na mimi nilidownload season 1 mpaka 4 complete ila sasa nilijuta bando nililotumia kukesha usiku. kifupi nilivumilia season 1 baada ya hapo nilifutilia mbali...
Sent using Jamii Forums mobile app
FaudaBaharia unaidownload Fauda kwa kutumia link gani asee, naisaka hii makitu. Help pse!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi badala ya kuona humu inasifiwa nimeshusha season 1 mpaka nimeimaliza siajona maajabu imepoa sana sasa sijui mnaipnedea nini au nivumilie nishushe na s2Yaani unamaanisha "Breaking Bad" ni series ya kawaida ama ?
Mkuu season gani umefuta manake mimi nimekutana na sifa za breaking bad hum nikashusha s1 lakin hakuna maajabu au ndo hii manake nafkiria nishushe s2 labda itachangamka.niambie kama sio niachane nayo nishushe hiyo fauda nayo nione wengine tumezoea mikiki mikiki.Hahaha mm nilidownload hadi season 4 nika delete zote , hakuna kitu pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaongea English au mpaka subtitles? Maana nimejaribu kuchek info zake naona language ni Arabic & Hebrew.Dah! Nilichopenda hii series kila season inayofuata inakua kali kuliko inayofuata sio kama designated Survivor season ya kwanza ni kali kuliko ya 2.
Kwa mfano hii Fauda s03 imefunika seasons za nyuma maana kuna mission moja ya kwenda Gaza ni balaa aisee na nimejua why Israel wanaiogopa Gaza
Breaking bad season 1 nimichosho endelea season 2 & 3 na kuendelea ndio utailewa zaidi...Mkuu season gani umefuta manake mimi nimekutana na sifa za breaking bad hum nikashusha s1 lakin hakuna maajabu au ndo hii manake nafkiria nishushe s2 labda itachangamka.niambie kama sio niachane nayo nishushe hiyo fauda nayo nione wengine tumezoea mikiki mikiki.
Asante rafiki, nishaingia machimbo yangu, next week nikiwa off nitaiangalia
Nakuomba sana endelea nayo kibishi lakini pia tazama kwa umakini..Mimi badala ya kuona humu inasifiwa nimeshusha season 1 mpaka nimeimaliza siajona maajabu imepoa sana sasa sijui mnaipnedea nini au nivumilie nishushe na s2
Yaani unamaanisha "Breaking Bad" ni series ya kawaida ama ?
Angalia Gangs of LondonHii Homeland wameimaliza kiboya sana...
Wakuu naomba series ya karibuni yenye heka heka za kutosha..
Kama upo group LA telegram unaipata kirahisi mkuuBaharia unaidownload Fauda kwa kutumia link gani asee, naisaka hii makitu. Help pse!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Umezoea series za Mikuki na Mibunduki bhasi breaking bad haikufai mzee...!!Mimi badala ya kuona humu inasifiwa nimeshusha season 1 mpaka nimeimaliza siajona maajabu imepoa sana sasa sijui mnaipnedea nini au nivumilie nishushe na s2