Mkuu nashukuru kumbe Telegram iko poa iv, naweza kupata link ya kudownload Movie za kawaida mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa napata wakati mgum wa Ku download series,kipindi cha nyuma nilikuwa nashusha kwa PC kupitia limetorrent lkn sasa inagoma,msaada site ya kudownload series wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiwaza kabisa kuhusu hii....na ina mashiko. Kulkua hakuna haja ya kutfuta panic room wakat gavana yupo...
Kwani za kikorea zipoje mkuu?Hii kitu hata mm nimejiuliza, series inakua kama ya kikorea sasas
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wameufanya upande wa serikali kuwa wa kiboya sana. Yaani vitengo vyote vya serikali hakuna hata mtu mmoja wa kum-challenge Proffesor?? Naikubali Money Heist ila hii season 4 ni kama wameishiwa story. Wamerudia yale yale ya season 1.Ila Gandia ndiye alieleta changamoto kidogo. Zaidi ya hapo sijaielewaHii kitu hata mm nimejiuliza, series inakua kama ya kikorea sasas
Sent using Jamii Forums mobile app
Netflix wanatabia ya kuua actors wazuri kwenye siries zao sijui kwanini, wameniuzi Sana walivyo muondoa NairobiHalafu wameufanya upande wa serikali kuwa wa kiboya sana. Yaani vitengo vyote vya serikali hakuna hata mtu mmoja wa kum-challenge Proffesor?? Naikubali Money Heist ila hii season 4 ni kama wameishiwa story. Wamerudia yale yale ya season 1.Ila Gandia ndiye alieleta changamoto kidogo. Zaidi ya hapo sijaielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
labda kama nilielewa vibaya kwenye plan ya Berlin alisema gavana ni mtu mbishi sana sio mtu anayeweza kukupa ushirikiano kirahisi....
aisee huwa siangaliag series za kikorea saana niliamua ku download Kingdom baada ya kuona Netflix wamehusika aisee nabaki nachek mwenyeweHii kitu hata mm nimejiuliza, series inakua kama ya kikorea sasas
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani za kikorea zipoje mkuu?
Halafu wameufanya upande wa serikali kuwa wa kiboya sana. Yaani vitengo vyote vya serikali hakuna hata mtu mmoja wa kum-challenge Proffesor?? Naikubali Money Heist ila hii season 4 ni kama wameishiwa story. Wamerudia yale yale ya season 1.Ila Gandia ndiye alieleta changamoto kidogo. Zaidi ya hapo sijaielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ivi prison break imefika season ya ngap?Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.
Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.
Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.
1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead
Hizo ni baadhi tu..
UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.
1.The last kingdom
2.Narcos
3.Quantico
4.blindspot
5.The bastard executioner
6.Limitless
7. Jessica Jones
8.The Returned
9.Tyrat
10.Power