Series (Special thread)

Homeland kali sana mzee.. Mimi nimeirudia kwa mara ya pili, now nipo season 5
Ngoja nianze kuiangalia Nina season 1 ila baada ya episode chache nikaipotezea. Naiangalia nikilenga kuenjoy hiyo season2 sasa ikiwa kinyume lawama zangu nakupa wewe
 
kwa wale wapenzi wa comedy series, pakua "orange is the new black" season 7 ndio final season.....
12023a559b167762f8eca84b9080a2c5.jpeg
 
Niko naiangalia series ya Breaking Bad...
Now nimefika season ya 5,Walter White amenogewa na uhalifu...
Breaking Bad imeingia moja kwa moja katika top 5 ya series kali ambazo nimewahi kuzitazama...
Series nitakayoifuatilia baada ya hii ni LOST,I hope sitakuwa disappointed..!
Aisee utakuwa umefanya jambo la msingi sana kutazama Lost.
Series kali sana unaweza tazama na wazazi pia haina yale mambo yetu-wale jamaa walikuwa na story
 
Money heist ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa na nusssssuuu
Fuvk this s03 wantagamela ni hatari
Money heist ni balaa sana ..
Hapa nipo na s03 sasa naogopa kuimaliza yote.

Kwahio nafanya kuangalia episode moja then natafakari , naenda kwenye mizunguko yangu jioni nakuja kuangalia nyingine..

Hii yote nafanya ili isiwahi kuisha..


Hawa jamaa wangeweka episodes hata 20
 
Niko naiangalia series ya Breaking Bad...
Now nimefika season ya 5,Walter White amenogewa na uhalifu...
Breaking Bad imeingia moja kwa moja katika top 5 ya series kali ambazo nimewahi kuzitazama...
Series nitakayoifuatilia baada ya hii ni LOST,I hope sitakuwa disappointed..!
Angalia lost mkuu..
Ni bonge la kitu
 
Mision yake ndefu mkuu. Series ni matokeo ya kipindi fulani. Lakini hiyo season mbili zote inaonesha zimeenda siku 3 tu
Mkuu kama umeona 24..
Season moja ina episodes 24.
Kila episode ni saa moja kwenye siku na season moja ni siku moja tu.

Lakini ni moja ya series kali kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia hii.

Kwenye list yangu ya series kali inaanza
1. 24.
2. GOT
3. Prison break.
4. Money heist
.........
 
Money heist ni balaa sana ..
Hapa nipo na s03 sasa naogopa kuimaliza yote.

Kwahio nafanya kuangalia episode moja then natafakari , naenda kwenye mizunguko yangu jioni nakuja kuangalia nyingine..

Hii yote nafanya ili isiwahi kuisha..


Hawa jamaa wangeweka episodes hata 20
Ni Kali Sana episode Ni chache Sana..inaisha kibabe
 
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.

Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.

Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.

1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead

Hizo ni baadhi tu..


UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.

1.The last kingdom
2.Narcos
3.Quantico
4.blindspot
5.the bastard executioner
6.limitless

7. jessica jones
8.the returned
9.Tyrat
10.Power
Ni kwamba hujaangalia MONEY HEIST/LACASA DE PAPEL au???!
 
Daah....mimi binafsi napenda sana series za mission sana, yaan zinatumika akili nyingi sana kusolve mission km terrorism hivi. Kwahiyo kwangu series ambayo siichoki kuangalia ni "24 HRS" ya Jack Bauer. Though zipo series nyingn nyingi nimeshaangalia.
 

Similar Discussions

67 Reactions
Reply
Back
Top Bottom