Series (Special thread)

Hata mimi kiongozi,najionea chengax2 na matukio yalikosa msisimko...nakaribia kuacha kuitazama.
Yeah yaani sio kama mbaya lakini haina uzuri wa inavosifiwa. Saa 6 usiku hii mimi naangalia hapa nipo s01e11. Kwanza matokeo yako slow sana. Yaani season nzima ni siku mbili tu. Kimision chenyewe ni kidogo lakini wanakipublish
 
aise wapenda comedy series tafuta "catch 22" ni ya mwaka huu.bonge la series...hutojutia bando lako
 
Nairobi ni kichaa.

Money Heist s3
IMG_20190723_191033_1.jpeg
IMG_20190723_191037_6.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom