Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,941
That's how the war startedNi kweli kabisa .S3 imeisha na patamu sana. Yani vita ndio inaanza rasmi.
Profesor kavaa sura ya simba sasa no mercy !
That's how the war startedNi kweli kabisa .S3 imeisha na patamu sana. Yani vita ndio inaanza rasmi.
Ndo hivyo mkuu kila mtu anapenda kitu kulingana na vigezo vyake kuna watu wanamwona demu fulani mkali balaa lakin kuna wengine wanamwona mavi tu the same kwenye hivi vitu vya kawaida mm ist naona na kagari kazuri sana wengne wataipondaMpaka sasa naangalia money heist na nipo episode ya 6 season 1. Sijaoma uzuri wake kama inavosifiwa. Sijui uko mbeleni vipi
Mision yake ndefu mkuu. Series ni matokeo ya kipindi fulani. Lakini hiyo season mbili zote inaonesha zimeenda siku 3 tuNdo hivyo mkuu kila mtu anapenda kitu kulingana na vigezo vyake kuna watu wanamwona demu fulani mkali balaa lakin kuna wengine wanamwona mavi tu the same kwenye hivi vitu vya kawaida mm ist naona na kagari kazuri sana wengne wataiponda
Ina siku zaidi ya kumi sio siku 3Mision yake ndefu mkuu. Series ni matokeo ya kipindi fulani. Lakini hiyo season mbili zote inaonesha zimeenda siku 3 tu
Iyo ni season 2e08. Unanambiaje siku kumi?Ina siku zaidi ya kumi sio siku 3
Ingia 0²tv series utaikuta yoteKuna mtu alitoa humu series moja inaitwa HOME LAND, danh huu mzigo ni hatari kwa ambao hamjaucheki ni bonge moja la picha full intellegence nimeitafuta nimeipata now nipo season ya 4 episode 7 nadhani zipo season 7,, bonge moja la picha hutojutia muda wako.
Kuna nyingine nayo inaitwa BILLIONS nimeicheki trailer yake you tube inaonekana ni tamu sana bahati mbaya kwa index kule google sijaikuta.
Mwisho niombe msaada jinsi ya kui download money heist season three , hd video kwa kutumia simu, msaad tafadhali maana kwa index google ipo season one na two peke yake.
Ingia 0²tv series utaikuta yote
Hiyo Billions utaielewa kama ukiwa mtu wa Accountant,,,iko poa sanaKuna mtu alitoa humu series moja inaitwa HOME LAND, danh huu mzigo ni hatari kwa ambao hamjaucheki ni bonge moja la picha full intellegence nimeitafuta nimeipata now nipo season ya 4 episode 7 nadhani zipo season 7,, bonge moja la picha hutojutia muda wako.
Kuna nyingine nayo inaitwa BILLIONS nimeicheki trailer yake you tube inaonekana ni tamu sana bahati mbaya kwa index kule google sijaikuta.
Mwisho niombe msaada jinsi ya kui download money heist season three , hd video kwa kutumia simu, msaad tafadhali maana kwa index google ipo season one na two peke yake.
Kiukweli mpaka sasa sijajutia muda wangu .The 100 iko poa sanaThe 100 shusha wala hutajutia. Action mwanzo mwisho. Huyu kamchukia huyu na kesho marafiki. Ni mawazo tofauti tu
Asante.. breaking bad Ni Moto..pia Lost ki moto vilevile..Niko naiangalia series ya Breaking Bad...
Now nimefika season ya 5,Walter White amenogewa na uhalifu...
Breaking Bad imeingia moja kwa moja katika top 5 ya series kali ambazo nimewahi kuzitazama...
Series nitakayoifuatilia baada ya hii ni LOST,I hope sitakuwa disappointed..!
Yea beachiiii...Asante.. breaking bad Ni Moto..pia Lost ki moto vilevile..
Kuna mtu alitoa humu series moja inaitwa HOME LAND, danh huu mzigo ni hatari kwa ambao hamjaucheki ni bonge moja la picha full intellegence nimeitafuta nimeipata now nipo season ya 4 episode 7 nadhani zipo season 7,, bonge moja la picha hutojutia muda wako.
Kuna nyingine nayo inaitwa BILLIONS nimeicheki trailer yake you tube inaonekana ni tamu sana bahati mbaya kwa index kule google sijaikuta.
Mwisho niombe msaada jinsi ya kui download money heist season three , hd video kwa kutumia simu, msaad tafadhali maana kwa index google ipo season one na two peke yake.
nilishindwa kuangalia homeland season 2
Ha ha ha ha ha ha ha Kale kadingi kalianza kaoga lakini kalibadilika nakuwa Mafia..yeee beeech-JesseYea beachiiii...
Endelea..Ni nzuri Sana..japo 2 ilipoa kidogo lakini mbele Ni Kalinilishindwa kuangalia homeland season 2
Ngoja nianze kuiangalia Nina season 1 ila baada ya episode chache nikaipotezea. Naiangalia nikilenga kuenjoy hiyo season2 sasa ikiwa kinyume lawama zangu nakupa weweI see breaking bad.. inaanza kitoto.. lakini ikifika season 2 utakubali kwamba kwanini inasifika
Niko naiangalia series ya Breaking Bad...
Now nimefika season ya 5,Walter White amenogewa na uhalifu...
Breaking Bad imeingia moja kwa moja katika top 5 ya series kali ambazo nimewahi kuzitazama...
Series nitakayoifuatilia baada ya hii ni LOST,I hope sitakuwa disappointed..!