Pengobovu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 482
- 546
Ndio Boss mpaka jumatatu tena.
Ndio Boss mpaka jumatatu tena.
Ni series??Wazee wa LA CASA DE PAPEL,na movie za aina hio,kuna hii mambo inaitwa THE KILL POINT,ya mwaka 2007.
Kutana na mtaalaam John Leguizamo kama MR WOLF(robbers wanatumia majina ya wanyama),utamkumbuka katika JOHN WICK kama Aurelio,veteran wa Iraq war,akiwa na wahuni wenzake katika harakati za kukwapua mipunga benk.Believe me,It is worth watching![]()
Ile nahisi imeisha mkuu!
into the badland master ndo alikufa kivile baada ya kuchomwa kisu na Mk au badooIle nahisi imeisha mkuu!
Haha hyo series ya kishamba siangalii mkuu,ilinishindainto the badland master ndo alikufa kivile baada ya kuchomwa kisu na Mk au badoo
into the badland master ndo alikufa kivile baada ya kuchomwa kisu na Mk au badoo
daaa imeuma kufa kwa master au watafanya kama kwa quin ata returnMaster amekufa na ile Monastery Master alimwambia Widow aichome. Hapa naaka nianalie episode 14 naona mzigo umeshatoka.
Arya ameonja utamu
Ha ha mwenyewe ilinishinda episode za mwanzo tu..mi series ikishakuwa na uongo uongo mwingi basi naidelete..Haha hyo series ya kishamba siangalii mkuu,ilinishinda
Sansa mbona siku nyingi sana watu walishamkata utepeHatmae amepgwa shngo
Bado Sansa
Ile imekua terminated! Hairudi mkuu...Hivi "The brave" inarudi lini
CyberFlixTv,Popcorn Time,,hizi ni app,natumia kwangu hazijawahi kuniangushaNaomba majina ya site nzuri ku download series kwa njia ya simu
Sasa amechukia mapenzi aisee. Labda atatoka na poldricHatmae amepgwa shngo
Bado Sansa