Breaking bad nilikuwa nayo nikaicheki mpaka episode 5 nikaona inanipa usingizi nikaiacha..
Baadae nikaona watu wanaisifia sana....nikawa nawashangaa sana.
Kupitia pitia humu napo nikaona mnaisifia sana.
Ngoja nikaipakue tena upya niicheki maana nilikuwa na mzigo wote nika-delete.