Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Wanaotumia Terrarium baada ya marekebisho watupe shule kwa urahisi namna ya kuitumia tena as hii Teatv naona ka inausumbufu mkubwa, haiko stable kabisa japo nimedownload hadi ADM.Nafikiria vip jamaa wapande ndege kutoka jamaica leo halaf wafike after 5 years?? Daah hawa watu wanajua kuigiza bhana wanakuacha na maswali kichwani kila ep inayopita,,sasa ule mzimu naona umeanza kuwatandika watu risas za vichwa,sijui yule mtoto alipata ishara gan kumchora yule kivuli

