Series (Special thread)

Series (Special thread)

Ila hii inanichanganyaga kwel kupakua kiukwel,wale tuliozoea terrerium kiukwel tunaadhibiwa mno kwa kipind hiki
 
Ila hii inanichanganyaga kwel kupakua kiukwel,wale tuliozoea terrerium kiukwel tunaadhibiwa mno kwa kipind hiki
Download u torrent kisha fungua hiyo link bonyeza palipo andikwa get this torrent it itakupeleka u torrent ponyeza palipo andikwa add itaanza kudownload a good thing hiyo link ina seeders wengi na mb 200 tu but mp 720
 
Nafikiria vip jamaa wapande ndege kutoka jamaica leo halaf wafike after 5 years?? Daah hawa watu wanajua kuigiza bhana wanakuacha na maswali kichwani kila ep inayopita,,sasa ule mzimu naona umeanza kuwatandika watu risas za vichwa,sijui yule mtoto alipata ishara gan kumchora yule kivuli
 
Au utawafuata watu wote waliotoka ktk ndege uwatandike za kichwa kila mmoja
 
Nafikiria vip jamaa wapande ndege kutoka jamaica leo halaf wafike after 5 years?? Daah hawa watu wanajua kuigiza bhana wanakuacha na maswali kichwani kila ep inayopita,,sasa ule mzimu naona umeanza kuwatandika watu risas za vichwa,sijui yule mtoto alipata ishara gan kumchora yule kivuli
Nahisi dogo ndo anuona mzimu peke yake, ila wenye vihelehele vya kuongea ndio mzimu unadili nao
 
Cal anaweza kuwa ndo mhimu wenyewe au anatumika kwani yule mama street alishout he is risen au yeye ndo anauona inaweza kuwa pia call ile shadow aliochora ikawa ni vision ya jamaa anaembadala wa baba yake!
 
Cal anaweza kuwa ndo mhimu wenyewe au anatumika kwani yule mama street alishout he is risen au yeye ndo anauona inaweza kuwa pia call ile shadow aliochora ikawa ni vision ya jamaa anaembadala wa baba yake!
Same thought mbadala wa mshua.. anyway you never know..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom