Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mkuuu hiii web...ikifika kwenye kudownload move unatumia option ipii maana zinakuja kibaoo...kama torrent......magnetic download...
Zote zinatumika, chagua yeyote, wameweka options nyingi ili ikizingua moja uwe na option nyingine ya kuchagua.
 
wakuu aliye ona Homeland, hivi blod kanyongwa kweli maana nipo Season ya tano then stelling kanyongwa Season ya nne yani hamu ya kuangalia sina

Naomba unijibu ndiyo au hapana kama kanyongwa sitaki lecture nyingi
kanyongwa asee ila ni season 2 bana sio 4
 
hawa sijui vipi, very pathetic, si angenyongwa kwenye Season ya 6 huko, ndo alikuwa ananogesha hii Series, nimepata naweka next ili nimuone mshikaji lakini wapii , but huko mbele iko poa au siyoo


Eti steling anakufa mwanzo wa Picha
Aah sasa hivi bana kila season ina story yake, ila 6 & 7 zina story moja... Ule mzuka umeisha kabisa aisee
 
Aah sasa hivi bana kila season ina story yake, ila 6 & 7 zina story moja... Ule mzuka umeisha kabisa aisee
Alafu nilichokuja kugundua series zinazohusu CIA hazikosi mambo ya prisoner exchange, udukuzi wa berlin, drone strike, ugomvi na agency nyingine, terrorist kupanga kulipua marekani alafu akashindwa. Yaani stori zao zinacheza umoumo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom