Greg50
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,979
- 2,494
Mkuu mbona naona kijerumani kitupu, kuna English version yake?DARK ni bonge la mzigo *****
Mkuu mbona naona kijerumani kitupu, kuna English version yake?DARK ni bonge la mzigo *****
Kabisa mkuu huyo jaz ni ninomaHakuna Series kama The Brave so far mwaka huu![]()
Kupitia simu vp?Mimi naitumiaga kudownload series kwa laptop yangu, nina utorrent tayari, kwaio naingia kwa site nasearch series ninayoitaka, nadownload file lake la torrent alafu nalifungua kwa utorrent inanishushia mzigo wote. Ninachoipendea hii site amna series nitakayoisearch nisiikute humu. Ina option ya kustream ila sijawahi ijaribu.
Imeishia episode ya ngpImeisha season 1 sijui washapata order ya S02..
Shoga hawezi kuwa jasusi asee c atakuwa anajinyea tu katikati ya missionsHabar njema ni kwamba The Brave haina masuala ya USHOGA.
Six afuu imeishia season 1 ep 8Itafute series inaitwa SIX ukiipata nambie
The brave nimeangalia naona hakuna jipyaa..!Kabisa mkuu huyo jaz ni ninoma
Shoga hawezi kuwa jasusi asee c atakuwa anajinyea tu katikati ya missions






Kidogo ingeendana na strike backThe brave nimeangalia naona hakuna jipyaa..!
Wewe una akilii sana..!! Naona hazina tofauti sanaa...Kidogo ingeendana na strike back
Ndicho wanachotaka mkione. Kwamba wanaweza Fanya kama watu wa kawaida ili vijana wa kiume nao waone ukiwa shoga haimaanishi tofauti ya vitu ya kufanya vitu vingine. Upuuzi mtupu
Kuna siriz ya Banshee kuna shoga mule ameonesha utofaut
KabisaaaShoga hawezi kuwa jasusi asee c atakuwa anajinyea tu katikati ya missions
Ya 13Imeishia episode ya ngp
Upo sahihi kabisa 100%.Ndicho wanachotaka mkione. Kwamba wanaweza Fanya kama watu wa kawaida ili vijana wa kiume nao waone ukiwa shoga haimaanishi tofauti ya vitu ya kufanya vitu vingine. Upuuzi mtupu
Bola umeligundua hilo wazungu wanatuangamiza kibwege sanaNdicho wanachotaka mkione. Kwamba wanaweza Fanya kama watu wa kawaida ili vijana wa kiume nao waone ukiwa shoga haimaanishi tofauti ya vitu ya kufanya vitu vingine. Upuuzi mtupu
Mi niliacha since season 01Upo sahihi kabisa 100%.
Mimi niliacha kufatilia EMPIRE kwa sababu ya zile scenes za USHOGA it was too much.
Nafsi yangu haitak.
Nikaipuuza hata sikutaka jua inaendaje
Kabisa hata Mimi niliiacha S01Mi niliacha since season 01
Maana ile series had producers wanaigiza ushoga.Mi niliacha since season 01
But sio wote wenye uwezo wa kubaini hizo mbinu.Bola umeligundua hilo wazungu wanatuangamiza kibwege sana