Series (Special thread)

we
weka na killing point, ina season 1 tu, mwanzo mwisho lakini huchoki kuitizama unaweza usilale aisee
 
Narcos, house of cards and vikings hizi vitu ni hatari kwa afya ya akilinna mwili pia. Coz hautapumzika kuziangalia hivyo matatizo ya afya kimwili ni lazima upate. Hautatoka kutafuta pesa wala hautakwenda kazini hivyo kukosa pesa na kufukuzwa kazi ni lazima upate tatizo la kiakili.
My take ni series nzuri sana yakupasa upange ratiba zako vizuri kabla ya kuanza kuangalia nina uhakika hautaacha mpaka ihakikishe ziishe
 
ukitaka umbea wa wanawake tizama desperate housewives, yaani tabia za wanawake zote ni sawa, hakuna tofauti kuwa waswahili wana tabia hizi na wazungu wana hizi, yaani vile vile
 
Viking mpango mzima. mpaka amalize season zote 6 atakuwa amefaidi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…