Sijaichek lakini nasikia ni nzuri, wanasema kuanzia season 2 ndio inachangamka.Breaking bad inahusu nn? Ujasusi au
Jirani, mimi Android {Tecno wereva} sijui kuhusu appleKwenye Apple Store ipo?
Jirani, mimi Android {Tecno wereva} sijui kuhusu apple
Zipo kibao wangu.Je kwenye pc nitumie website ipi?
Zipo kibao wangu.
Tvseriesweb
Tvshows4mobile
02Tv series.
Kuna app zipo google
Show box
Terrarium Tv.
Wewe tu
Kumbe ya mazombi!!! Siangalii hata kwa kulazimishwa.Mazombie yasiyojulikana chanzo chake. Siipendi, ilinimalizia mbs zangu
Yaani nivumilie season one hadi iishe ndio ninogewe!!! Hapana kwakweli.Sijaichek lakini nasikia ni nzuri, wanasema kuanzia season 2 ndio inachangamka.
Jamaa alikuwa anaugua kansa, na alibakisha miezi michache afe. Akaamua ajiingize kwenye madawa ya kulevya ili akifa familia isibaki masikini, miezi ikakatika akagundua amepona na madawa ya kulevya yashamnogea....
Show box na terrarium zote kwangu zimebuma, show box haionyeshi server tofati na torrents, na hiyo server ni majanga, inakula bundle hatari, 2 gb unaangalia episodes mbili tu.Zipo kibao wangu.
Tvseriesweb
Tvshows4mobile
02Tv series.
Kuna app zipo google
Show box
Terrarium Tv.
Wewe tu
Hahaha sema iko poa sana kwanzia season 2 ....uku season 1 inahitaji uvumilivuYa kindezi sana fear of the walking dead.
Yaani nivumilie season one hadi iishe ndio ninogewe!!! Hapana kwakweli.
Hilo jibu la shoga angu hapo juu ndio la kwangu kwako, sikuipenda. Nampenda dennis mume wa griselda, baba ake ofelia tu.Hahaha sema iko poa sana kwanzia season 2 ....uku season 1 inahitaji uvumilivu
Bado siku 43, tupo wengi sana tunao isubiria jamaaJaman eeeh last ship bado hawajaleta mzgo mpya???
Sent from my DP7CPRO using JamiiForums mobile app
Mi inafungua vizuri. Unataka kunambia zile sever A na B hazifunguki??Show box na terrarium zote kwangu zimebuma, show box haionyeshi server tofati na torrents, na hiyo server ni majanga, inakula bundle hatari, 2 gb unaangalia episodes mbili tu.
Terrarium ndio haidisplay chochote!!
Na kweli huko mbele ndio, wanatuchefua na maduala yao ya rates.Sema wabongo test zetu za series wengi znafananana na nyingi 2nazozkubal zna ratings ndgo sana uko mambele....nilijarib kucheki the westworld kisa ina ratings nyingi tomatoes nliishia kuifowadi fowadi tu mpaka episode ya 6 uko moto ulipowaka
Sijaona update yake, nimejaribu kuchekWaungwana naomba kuuliza je, series ya STRIKE BACK hawajaendea tena coz nakumbuka hapa ninayo SEASON 5
True..T- bag me mwenyewe nimumuelewa sana kwenye prison ila kasubiri sana kwa Michael, Mahoney na ata Paul.Ukisema mastermind wa prison break Tbag namweka mwisho, wapo watu waliokua focused sio tbag.... Tbag mdandiaji na sio mtu wa principles, hana plans mambo yake ni coincidental tu
Michael failed to get rid of t-bag, kila alichofanya mwisho wa siku t-bag aliibuka from no where!True..T- bag me mwenyewe nimumuelewa sana kwenye prison ila kasubiri sana kwa Michael, Mahoney na ata Paul.
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app