Series (Special thread)

Naomba nmb yako tuwasiliane, nahitaji series za nchi kama India , Philippines , Korea, China etc.
 
msaaada mwenye link ya movie !''! pirates of the carribean""asnte
 
Mie Prison Break nimeiweka Prison kwanza mpk ziwe nyingi nyingi
 
Mie Prison Break nimeiweka Prison kwanza mpk ziwe nyingi nyingi
Na usithubutu kuiangalia hata episode moja manake ukifanya hivyo tu, na vile ilivyoanza kwa bang! There's no way unaweza kuvumilia usiangalie na episodes zinazofuata!
 
Mamii hiyo scorpion inahusu nini?
Scorpion ni team geniuses wako wa4 lakini wanakutana na watu wa kawaida ambayo mdada mmoja Paige mwanae ni genius so wanamsaidia peige amwelewe mwanae,then Paige anawasaidia wao wawaelewe watu wa kawaida na watu wawaelewe Hapo genius.pia yupo wa kawaida mwingine Cabe ambae ni FBI agent,anawasaidia kwenye mission hatari kwa usalama wao. Hapo geniuses kuna machenics,behaviourist,human calculator na mkuu wao alieact as Walter mwenyewe Ndio ana IQ kuwazidi wengine. based on life of Walter O'Brien ambae ilikuwa na IQ Kubwa sana ya kutatua mambo mbalimbali na kusaidia jamii nzima. Ni nzuri sana espy mie inanitia uchizi kwa kweli.
 
Human calculator,,wanajua wale jamaa balaaa,wanajua kufix tatizo chini ya muda usiotarajiwa,niliipenda japo nadhan kama wapo break
 
Human calculator,,wanajua wale jamaa balaaa,wanajua kufix tatizo chini ya muda usiotarajiwa,niliipenda japo nadhan kama wapo break
Season 3 imeisha. Tuna subiri season 4. Yaani series nyingi ziko break for season inayokuja. Blindspot and Quantico tuna subiri season 3
 
Niliicheki kidogo tu mwanzoni haikunivutia, ngoja nitaicheki tena.
 
Na usithubutu kuiangalia hata episode moja manake ukifanya hivyo tu, na vile ilivyoanza kwa bang! There's no way unaweza kuvumilia usiangalie na episodes zinazofuata!
Kwa tunao iangalia tupo kwenye kihoro acha tuuuu.
Sijui ile risasi katandikwa michael ama vipi, huku nje napo kaka yake kamiminiwa risasi za kutosha...
Jumanne huwa naionaa mbaliiii.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…