Series (Special thread)


wewe ndo umechanganya madesaa kwasbbu umeingia ndani zaidi....unapolinganisha tabia za watu wawili tofaut hatuangalia uyu ni nani na ana fanya nini...una angalia ana nafas gani katika series ww maelezo yko umeingia deep bila kusoma comment ya juu nlijibu mshkaj ilikua inahusu nini....mimi nilichoangalia nimeangalia kila mtu katika nafasi yake amefanya mambo gn ndmn nikasema drug dealer hajafanya mambo makubwa sn kwny ile movie kias cha kusema kua ni mtu hatari...rudia upya kusoma post ya jamaa utaelewa maana dzain km umedandia mwendo kasi kwny kituo cha daladala
 

km umemuita uyo mshkaj real drug dealer tena kwa scene moja tu ulioiona ya kuexchange bidhaa...bc ww ndo huwajui madrug dealer mkuu.....yn cjaona kipya alichokifnya jamaa...anyway tusibishane sanaa maana kila mtu ana mtazamo wke...kulingana na alivoielewa show
 
Ni series ya kijinga sana kwa kweli, binafsi sijaipenda, nilikua na Mategemeo makubwa sana kutoka kwa Marvel ila naona kama wameshindwa kudeliver what is expected from them kutokana na kufaulu kwao upande wa Movies.
Iron Fist, imekumbwa na critics nyingi sana Rotten Tomatoes imepewa 17% sasa labda jinsi viewers wanavyoendelea kuiangalia waiangalie wengi zaidi ili iendelee kuwepo.
Binafsi naona ni Big Disappointment kwa MCU. Maana tunaona Mobie zao na series kama Agents of SHIELD zinafanya vyema tu.
Naona tatizo liko kwenye Story line, Casting pamoja na Stunts(Action parts).
 
Wakuu nataka kuianza hii series ya Grey Anatomy...
Kwa alieona vp nitaenjoy au niachane nayo.
 
Mkuu hebu jaribu ku google waweza pata dawnload link, maana nimechek kwenye app ya terrarium, ipo lakini haina data.
Msaada. Terrarium kwangu inazingua kichizi. Mpaka inanikata stimu Yaani. Inaload halafu inafika sehemu inakata,naweza kupick vizur mbs na download with subtitle inaload kabla haijaanza inazingua. Nikajaribu bila subtitle the same magumashi. Nakereka mno Yaani,kama kuna msaada itengamane kama mwanzo
Nashindwa kuiona ndoa ya happy Quinn na Tobias jamani scorpion yangu
 
Wakuu nataka kuianza hii series ya Grey Anatomy...
Kwa alieona vp nitaenjoy au niachane nayo.
Ni moja kati ya series bora kabisa kwa sasa; sema duh; imefika mbali kishenzi manake hivi sasa tunaangalia season 13. Halafu si unajua hizi series za zamani; nyingi ni full season... yaani episodes 20+ per season! So, ukitaka kuanzia mwanzo, hesabu kuna episodes zaidi ya 250 zinakusubiri!!!
 

Shukrani mkuu...wacha nijitahidi nikomae nayo
Kama ina utamu sitojali.
 

Jaribu app nyingine inaitwa ..Bobby movie hutojuta ipo poa sana.
 
Habari zenu wadau wa JF.

Hii movie ni bonge moja la entertainment kwa kuiangalia. Niambie ni muhusika yupi unamkubali kutokana na kuuvaa uhusika kisawasawa mi namkubali Balon aisee jamaa yuko vizur sana. Niambie pia ni series ipi nikali kama hiyo .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…