WirelessBrain
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 980
- 1,351
Profile Picture yako Wireless Brain...ni ya Bwana Yule wa Banshee sikoseiii.Daah imenikumbusha Bwan Job..
Hahaha yeah sheriff uko sahihi
Profile Picture yako Wireless Brain...ni ya Bwana Yule wa Banshee sikoseiii.Daah imenikumbusha Bwan Job..
Sio yupo kwenye tv series mpya inaitwa billions 2016.Sidhani kama atarejea... sijui watafanya twisting ya aina gani hadi ikubalike!! Twisting ya Michael Scofield ni rahisi kukubalika kuliko twisting ya Brody!!!
Kama haikuwa ni sababu za kikazi; nadhani hata wenyewe wanaona walibug sana kumuua Brody mapema kiasi kile!
Yah, baada ya Homeland ndo akaibukia kwenye Billions!!Sio yupo kwenye tv series mpya inaitwa billions 2016.
cheki American Gods..ndiyo nahisi imetoka leo...cheki Extra.toHahaha yeah sheriff uko sahihi
cheki American Gods..ndiyo nahisi imetoka leo...cheki Extra.to
Walivyomtoaga john porter(richard amritage) na series ikawa kwishnei.
kwa maelezo yako tu hauwajui vizuri watu wanaodeal na madawa ya kulevya hasa wauzaji wakubwa .... yale ndio maamuzi yao undugu kando kazi mbele.... na wengi wao wamepotea kwa kupitia mademu just like unavyohadithia ...fuatilia REAL LIFE STORIES ZA DRUGDEALERS ... jamaa kafit mbayaaaaasamahn mkuu naomba nikukosoe unapomuita jamaa mbabe umerefer kwny series ganiii?? km ni kwny 24 legacy bc ubabe wke ni wa kawaida pia na utajir wake ni wa kawaida kwsbbu kuu moja...wkt wametekwa yy na yule demu ake sterring walivotolewa yule demu alikua anamsihi jamaa arud ili akamuokoe braza ake (sterring) lakini jamaa alikua ana cta japo badae alirud kumuokoa (kwa fact km iyo cdhn km anapaswa kuitwa mbabe)...kwny case ya utajir alishindwa kumpa kaka yke (sterring) pesa kwa ajili ya kwnda kuikomboa flash iliokua kwa rafk ake (mwanajesh mwenzake) so kwa upande wng cdhn km jamaa ni mbabe....labda muhuniii ila sio mbabe
unachanganya madesa.... REDDINGTON ni deserter / rogue psy agent.... ni jasusi aliyeasi na kwa kuasi kwake amepiga double agent na mashirika mbali mbali ya kijasusi na ya covrt black opps ( vikosi vya siri ) na magaidi wengi na anatumika kama source of intell sasa sijui unaanzaje kumlinganisha na drugdealer .... hivi mnaangaliaga tuuuuu au mnaangalia na kuzielewa!!!!ok ila umecheki the blacklist??? umemuona raymond regginton mule ndanii...kwa pesa anazotumia na ubabe anaofanya kwa wababe wenzie mpk serikali inamuogopa na kuanza kumtumia kukamata wababe wengine...km umeicheki iyo utaona tofaut ya ubabe na kua na gang
the wire ni shidaaaa kumiliki ile mitaaa ,mara kusupply ila kiboko yao ni OMAR .....na akaja yule dogo aliyekuwa recruited na OMAR kanaitwa Michael ni shidaaaaa wao wanawaibia madruglord tu .... unamkuta Bubbles teja hahaahaaaa kule afande BUNK ni shidaaaa hujakutana na masterplan STRINGER BELL daaaah niilicheki kwenye 2004-8 kali sana aseee , kule Marlo huku Avon ,Wee -Bay the killer, Kima afande msagaji , kule detective mcNair daaah...umenikumbusha mbali sana jombaa ....kiswahili kikapigwa bandarini kwenye msako wa wapitishaji madawa ...noma sana hii kitu... kale kademu kauaji afu kasela kinomannoma nimekasahu jiinaThe Wire umeshaicheki?! Ya kitambo sana lakini ni moja ya series bora kabisa miongoni mwa crime drama. Ni type ya Power lakini kwangu mimi, The Wire ni bigger than Power...
Kweli maana hata sikujisumbua kutafuta season 2 maana nilidhani hakuna mbadala wa porter.Hujamuangalia vizuri Scott baba
Snoop habari nyingine... mara ya kwanza nilidhani mwanaume kuanzia uvaaji, utembeaji hadi uongeaji wake let alone actions zake!!the wire ni shidaaaa kumiliki ile mitaaa ,mara kusupply ila kiboko yao ni OMAR .....na akaja yule dogo aliyekuwa recruited na OMAR kanaitwa Michael ni shidaaaaa wao wanawaibia madruglord tu .... unamkuta Bubbles teja hahaahaaaa kule afande BUNK ni shidaaaa hujakutana na masterplan STRINGER BELL daaaah niilicheki kwenye 2004-8 kali sana aseee , kule Marlo huku Avon ,Wee -Bay the killer, Kima afande msagaji , kule detective mcNair daaah...umenikumbusha mbali sana jombaa ....kiswahili kikapigwa bandarini kwenye msako wa wapitishaji madawa ...noma sana hii kitu... kale kademu kauaji afu kasela kinomannoma nimekasahu jiina