Pamoja na hilo pia.somen vitabu vitabu vitakatifu muongeze maarifa
Sio kwa usawa huu wa magu tutadownload tu hamna namna airtel 10gb kwa sh600 usiku kucha.Movie tu elfu 50,000???
Movie tu elfu 50,000???
Ngosha acha tamaa, hizo series zenyewe ume download torrents bure tena kwa kutumia WiFi ya chuo bureee..Quantico
The Originals
The 100
Marvel Iron fist
The Blacklist
The blacklist redemption
The flash
Tomorrow people
Legends of tomorrow
Gotham
Macgyver
Lethal weapon
Scorpion
Game of thrones
Shooter
Under the domes
Falling skies
Na zakikorea pia
Kma upo dsm,,tafuta external hdd iwe na free space kma ya 100 gb,,,ntakuwekea vitu vya ukweli,,hutojuta...
Kwa Tsh.50,000/= Tu.
Ni dm kma ukihitaji
Yaan movies za dizani hiyo.... nmetoa mfano hapo mkuuBro una maanisha mapanga na farasi pekee au kuna vitu vingine ulivyopendezwa nazo? according to your reference
Mkuuu hilo ata mim nlikuwa nakataa but nmegoogle nanimehakikishaa mwenyewe kwamba jamaaa ni shogaa tna anajitangaza mwenyewe naamerivili hilo alipofikia miaka41 ila jama kwel so ridhkii axeeOffcoz upo real man yawezekana ni kutangaza ushoga kutokana na ustaa sake
Huyo shogaa kitamboo japo nlikuw siamin lakin nmefatiliaa nmejua kuwa yey shoga tena kwa alifanya press conference akasema ni wakitambo xanaa,,,dahKuna video YouTube anajitangaza kwenye mkutano fln kuwa ye ni shoga tena wa muda mrefu, so suala la kusema tetesi acheni, kama hamfatilii anzeni kufuatilia, unless mseme alisema hvo kwa shinikizo la Mastar wa mbele kuunga mkono agenda ya ushoga, otherwise ni shoga mzoefu
Huyo shogaa kitamboo japo nlikuw siamin lakin nmefatiliaa nmejua kuwa yey shoga tena kwa alifanya press conference akasema ni wakitambo xanaa,,,dahKuna video YouTube anajitangaza kwenye mkutano fln kuwa ye ni shoga tena wa muda mrefu, so suala la kusema tetesi acheni, kama hamfatilii anzeni kufuatilia, unless mseme alisema hvo kwa shinikizo la Mastar wa mbele kuunga mkono agenda ya ushoga, otherwise ni shoga mzoefu
Naikubali sana breaking bad but sijawahi hata shawishika kuitizama better call saulSaul nilimkubali tangu akiwa Breaking Bad... jamaa anajua!! Na hata ukimwangalia mwandaaji wa hizi shows mbili; Vince Gilligan... huwa hakosei!!!
Mi nilishawishika kuiangalia kwa sababu kwenye series/movie mara nyingi huwa naangalia sana ni nani creators wa content husika na huwa siangalii ni nani waigizaji! Sa' kwa mtu kama Vince Gilligan tayari nilishazikubali kazi zake za Breaking Bad na X-Files; kwahiyo nilijua hata kwenye Better Call Saul asingeniangusha!!Naikubali sana breaking bad but sijawahi hata shawishika kuitizama better call saul