Series (Special thread)

Series (Special thread)

Niliipenda The Messengers sadly ikawa canceled. Naipenda blindspot na APB,The Arrangements na scorpion.
 
Hii series imechezwa na waarabu imenifanya nifikilie sana kuhusu bongo movies kumbe utofauti ni akili ya mtu ayeongoza hizo filamu au tamthilia sababu haina teknologia kubwa sana au labda magari ya kivita au kitu chochote ambacho huwa kinatumika kama kisingizio kwao kutokutengeneza filamu au tamthilia nzuri.

Ina hadithi kiwango muonekano kiwango nilikua naifuatilia kupitia tv 1kuna kipindi walikuwa wanairusha, youtube ipo lakini wanaongea kiarabu na english sub
Kama kuna mwenye nayo ambayo ni ya kiingereza anijuze tafadhali.
 
Ezel unanikumbusha Asian,bahatel,max,thepol,bro Ally,Uncle duh!!!
 
Asian na uncle alli ndo wananikosha sana wale watu pamoja na sound track yake ni noma sana ile tamthilia ni noma sana
 
Kuna kijitu Timothy sikapendi kale...mi nampenda Thepol tuuu. Nilikuwa namuonea huruma mama ake Ezel,miriam
 
Kweli yule mama bwana anamtambua mwanao kwa harufu yake tu jamani naitafuta mwenye nayo wanyoongea kiingereza.
 
Daaaah iko poa sana, Michael inaelekea kala msoto wa maana hadi kumbukumbu hana...
Next episode lini wakuu?
michael ame act hawajui wale ili mambo yake yasome si unaona alinyanyua mikono ili waone ile alama wa kwenye kiganja na wakat anasepa alifumba macho kama anaumia kumlia bati kaka yake ....michael ni mzee wa chezo sana ..,nobody sucker
 
michael ame act hawajui wale ili mambo yake yasome si unaona alinyanyua mikono ili waone ile alama wa kwenye kiganja na wakat anasepa alifumba macho kama anaumia kumlia bati kaka yake ....michael ni mzee wa chezo sana ..,nobody sucker
May contain spoilers..

Pindi episode 1 inaanza... michael alisema..

"But the dead talk,if you listen. They're just there with you, reaching out, trying to tell you something."

At the exact moment anaposema, "But the dead talk" tunaoneshwa drain chini ya mailbox ya sara.
12aa56801ca592145be8359218388d36.jpg


Michael alikuwa anamtumia sara origami lakini kuna mtu alikuwa anazidrain ili zisimfikie sara. Of course ni mume wake sara. Ndo maana yule manzi alimshoot kwene mguu ila hakummalizia..
 
May contain spoilers..

Pindi episode 1 inaanza... michael alisema..

"But the dead talk,if you listen. They're just there with you, reaching out, trying to tell you something."

At the exact moment anaposema, "But the dead talk" tunaoneshwa drain chini ya mailbox ya sara.
12aa56801ca592145be8359218388d36.jpg


Michael alikuwa anamtumia sara origami lakini kuna mtu alikuwa anazidrain ili zisimfikie sara. Of course ni mume wake sara. Ndo maana yule manzi alimshoot kwene mguu ila hakummalizia..
lets check episode 2 hope tutapata majibu ...,afu sikuwaza kabsa ishu ya mume wake sara kwamba anahusika ..now naona posibility iyo
 
May contain spoilers..

Pindi episode 1 inaanza... michael alisema..

"But the dead talk,if you listen. They're just there with you, reaching out, trying to tell you something."

At the exact moment anaposema, "But the dead talk" tunaoneshwa drain chini ya mailbox ya sara.
12aa56801ca592145be8359218388d36.jpg


Michael alikuwa anamtumia sara origami lakini kuna mtu alikuwa anazidrain ili zisimfikie sara. Of course ni mume wake sara. Ndo maana yule manzi alimshoot kwene mguu ila hakummalizia..
Umefikiria mbali. Kwa muuaji makini hatakiwi kuacha alama ila Yule bi Dada alimuacha mumewe Sarah after leg shot.

This series has lot of secrets. Pia T-Bag kufanyiwa replacement free ya advanced mkono has a lot of questions. Waliolipia such a costful project ni akina nani?

Organization ya Franklin aloingia ya Muslims nayo kama ina utata....

Tuendelee kuwemo!!
 
Umefikiria mbali. Kwa muuaji makini hatakiwi kuacha alama ila Yule bi Dada alimuacha mumewe Sarah after leg shot.

This series has lot of secrets. Pia T-Bag kufanyiwa replacement free ya advanced mkono has a lot of questions. Waliolipia such a costful project ni akina nani?

Organization ya Franklin aloingia ya Muslims nayo kama ina utata....

Tuendelee kuwemo!!
Kweli mkuu.. michael did cut a deal to work undercover kwene ilo gereza.. (theory). Jiulize, kwanini sara alitoroka gerezani lakini yupo tu USA anaishi bila tatizo lolote..??
Kuna sehemu anasema..

"Freedom comes at a price, I left a brother, wife and son"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom