Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kiukwel sijaona series mbaya na iliyosifiwa kama shooter na six daaah zilinikera sna aisee
 
Umefikiria mbali. Kwa muuaji makini hatakiwi kuacha alama ila Yule bi Dada alimuacha mumewe Sarah after leg shot.

This series has lot of secrets. Pia T-Bag kufanyiwa replacement free ya advanced mkono has a lot of questions. Waliolipia such a costful project ni akina nani?

Organization ya Franklin aloingia ya Muslims nayo kama ina utata....

Tuendelee kuwemo!!
Alielipia hizo gharama ni michael. "Outis" yaani "nobody" kama ilivotafsiriwa.
 
The 100 unayo mpaka season ngap? Season4 nimeishia
35863f36441a403c51aac542d9071536.jpg
caa541902689471ba87810663d00bb5d.jpg
 
Hey guys Napend sana kudownload series but majina na kujua series kali ndo shida tupia kali unayoijua kutisha na action mapenz tupa kule
 
series ziko nyingi ungecategorize unapenda ze nchi gani kama ni za kikorea,kimarekani,kifiripino au kihindi
 
Wakuu wakati nasubiria 24 Legacy na Prison break new episodes, kati ya,
The Americans
Quntaco na
Lethal weapons niangalie ipi yenye actions na yenye kutumia akili sana?
 
Naogopa kuianza Agent X japo cmz ipo na story nzuri ila ilikuwa canceled
 
The walking dead
Game of thrones
Chuck (ya kitambo kidogo ila nzur)
strike back
Tomorrow People
Event
How to get away with murder
 
Wakuu wakati nasubiria 24 Legacy na Prison break new episodes, kati ya,
The Americans
Quntaco na
Lethal weapons niangalie ipi yenye actions na yenye kutumia akili sana?
Lethal weapon nakushauri.. quantico achana nayo na nahis itakuwa cancelled. The americans angalia s1,hadi s04. Isubirie s05 ijae ijae kwanza maana iko slow katika build up sasa hivi.
 
Niliamja makusud kuidownloud prison break ytee seasin one mpka four,,ili niziunganishe pmoja,,nizid kuifaid...
 
Lethal weapon nakushauri.. quantico achana nayo na nahis itakuwa cancelled. The americans angalia s1,hadi s04. Isubirie s05 ijae ijae kwanza maana iko slow katika build up sasa hivi.
Asante kwa ushauri. Ngoja nitaicheki, plus Designated Survivor
 
Niliamja makusud kuidownloud prison break ytee seasin one mpka four,,ili niziunganishe pmoja,,nizid kuifaid...
Ila s5 haina muunganiko wa moja kwa moja na zile za mwanzo mkuu labda kwa baadae halafu wahusika wengi wamezeeka, hata ukianzia hiyo hiyo s5 itakupa mwanga tu nini kinaendelea,
 
May contain spoilers..

Pindi episode 1 inaanza... michael alisema..

"But the dead talk,if you listen. They're just there with you, reaching out, trying to tell you something."

At the exact moment anaposema, "But the dead talk" tunaoneshwa drain chini ya mailbox ya sara.
12aa56801ca592145be8359218388d36.jpg


Michael alikuwa anamtumia sara origami lakini kuna mtu alikuwa anazidrain ili zisimfikie sara. Of course ni mume wake sara. Ndo maana yule manzi alimshoot kwene mguu ila hakummalizia..
Huku ndio kunaitwa kuangalia series kwa jicho la tatu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom