Series (Special thread)

Series (Special thread)

0724c6461bf08e0f85787f4cbaea2369.jpg
mselaa jiwe,,,mbabe,kiburi,tajiri,mtukutu na anajua kuleta noma...
 
Aisee mm nimeishia season 2 natamani sana kuipata yote ntafanyaje ili kuipata yote huku nilipo net haiko vzr
Jarib kuuliza wadau humu,mi ya 1-5 nilishaifuta mda tu,kama mtandao upo hata kdg download via simu tu mkuu koz mbs huwa chache.
 
Jarib kuuliza wadau humu,mi ya 1-5 nilishaifuta mda tu,kama mtandao upo hata kdg download via simu tu mkuu koz mbs huwa chache.
Niki download kwa simu vipi ubora Wa Picha? Ntakapotaka kuiangalia kwa laptop au tv
 
Niki download kwa simu vipi ubora Wa Picha? Ntakapotaka kuiangalia kwa laptop au tv
Inakua poa ukiiangalia via phone kama umedownload version ya simu,ubora utapungua ukiangalia kwa laptop.
 
Mkuu hapa nieleweshe heroes reborn ni tofauti na ile heroes
hapana ulikuwa mwendelezo wake baada ya ile kuisha kiutatautata tu katika season 4 sasa wakaamua kuifufua kwa kuipa jina la heroes reborn na ilkuwa hewani last year.
 
hivi mnawezaje kuangalia series za wazungu maana waweza shtukia watu wameanza kunjunjana.

hicho ndo kinanifanya nisiziangaliage
Sio zote mkuu,halafu si jambo lakawaida tu hilo hasa kwa wanandoa na walio kwenye mahusiano na sio kwa mda mrefu ni vipande tu afu pia inategemea wacheki series za maudhui gani huwa wanaonya mapema tu mf +18, parental control na warning kibao tu kabla ya kuitazama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom