Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Wanaaribu vipi Hapo mother fantaNaamisha black american jombaaa maana kusikiliza mother f*** kila baada ya sentes moja wakat naangalia nanwife siyo jambo zur sana



mpaka wanaboa.Wanaaribu vipi Hapo mother fantaNaamisha black american jombaaa maana kusikiliza mother f*** kila baada ya sentes moja wakat naangalia nanwife siyo jambo zur sana



mpaka wanaboa.Espy umeichek The Arrangement??please I check my dear hutojutia ushauri wanguYeah ni nzuri kwakweli.



Mamii nilishaicheki, yaani niliicheki kama jana yake then kuingia humu nikakuta umeirecomend. Boonge la kitu.Espy umeichek The Arrangement??please I check my dear hutojutia ushauri wangu![]()
kaka ndio hii imeandikwa Tubitv au inanitaka ni creat accountHapo sijaangalia arrangement tu bas,,halaf quantico kumbe season two nliona kam wanazingua maaan mara mafunzon mara uhalisia sikuoenda ile na ndio maana nikaacha kuicheki,,,ila blacklist kuanzia season 2 aaaah balaa sana,,,na homeland cjaichek kbsa naona km ya zaman sana
Sio hiyo,sorry japokuwa umemuulza mtu mwngne. Hiyo terrarium TV inapatikana Google search tuma uc browserkaka ndio hii imeandikwa Tubitv au inanitaka ni creat account
Naisubiri epithodi ya 4Mamii nilishaicheki, yaani niliicheki kama jana yake then kuingia humu nikakuta umeirecomend. Boonge la kitu.
Kweli mapenzi hayajaribiwi.



Yaani hata nami naisubiri kwa hamu kweli. Sijui bibie akigundua rafiki yake ndio alilikisha picha zake itakuwaje!!Naisubiri epithodi ya 4![]()
Season 2 ina episod 10 mkuu..Into the badland kuwepa episode 6 ni uzembe wa hali ya juu,,,,sijui hii ya season 2 itakuaje...
Mkii unafahamu app inaohusiana na subtitle? Maana nikicheki kwa kutumia terrarium tv nashindwa kuona subtitle.Shaichek thru terrirum tv jana
Ahaa basi inaonekana utakuwa ni kali sana ...ngoja niifanyie namnaataken kuna jamaa alikuwa special opps, akapiga mission moja akamkamata drug kingpin akafungwa ... akarudi uraiani... sasa na covert operation unit ambayo haiexist bythe law... sasa wanamrecruit jamaa baada ya kuonekana kwenye tukio moja kupitia cctv camera za treni ujasiri wake... wakamrecruit na kuanza kumtumia kusaka outlaws
kuna jamaaa ameniambia kwa sasa haina hjhizo mambo afu imekolea ..sasa sijui nianzie hapa au nimetano nayo mazima ...maanamwanzoniliangalia lakini niliacha kutokana na huo ungese
Mkuu the arrangement ipo katika category ipi? Drama, thriller, sci-fi, au nin mkuu ..au ni commedy au love story tuEspy umeichek The Arrangement??please I check my dear hutojutia ushauri wangu![]()
Ukingia Hapo terrarium TV Kama unataka Ku download au kuchek online kuna option ipo kabisa with subtitles. Hauitafuti wala vipiMkii unafahamu app inaohusiana na subtitle? Maana nikicheki kwa kutumia terrarium tv nashindwa kuona subtitle.
Yaani yule shoha sie. Halafu jamaa anlivyozimika na yeye akajitosa na yeye akapiga nakedYaani hata nami naisubiri kwa hamu kweli. Sijui bibie akigundua rafiki yake ndio alilikisha picha zake itakuwaje!!


ila nahisi kyle there is something behind mpaka akakimbiwa siku ya harusiDrama. Ukiingia tu ukai search Hapo terrarium TV utaipataMkuu the arrangement ipo katika category ipi? Drama, thriller, sci-fi, au nin mkuu ..au ni commedy au love story tu
Yaani natamani kujua mnooo sababu ilopelekea akakimbiwa japo he seems like a good guy.Yaani yule shoha sie. Halafu jamaa anlivyozimika na yeye akajitosaila nahisi kyle there is something behind mpaka akakimbiwa siku ya harusi
Yaani he is caring mpaka Megan kazimika mazimaaYaani natamani kujua mnooo sababu ilopelekea akakimbiwa japo he seems like a good guy.
Bahati nzuri wamezimikiana, sijui wataendelea na contract au wataamia kufanya kweli kabisa.Yaani he is caring mpaka Megan kazimika mazimaa
Bahati nzuri wamezimikiana, sijui wataendelea na contract au wataamia kufanya kweli kabisa.


ila me nahisi kyle atakuwa na kitu yule. Nina mashaka kweli,Maana convo Yale na Terrence Hata sikuielewa pale mpaka Megan akaenda kumchabo Kyle hotel episode 2Nikiangalia nahis kuna biashara inayofanyika nyuma ya pazia,,mbona kama hawajiamin amini sana,,kuna kitu kinaendelea nyuma ya paziaila me nahisi kyle atakuwa na kitu yule. Nina mashaka kweli,Maana convo Yale na Terrence Hata sikuielewa pale mpaka Megan akaenda kumchabo Kyle hotel episode 2
Mimi pia nahisi kabisa kuna kitu nyuma ya pazia. Terrence na mke wake kwanza wana fight Sana kumtoa Megan kwa Kyle. While the boy amezama,kila nahisi kuzama kule kuna kitu anaficha. That's why anapata hasira aliulizwa why Lisbeth alimkimbia,na Lisbeth alimwambia Megan subiri utajionea mwenyewe...kuna kitu buanaNikiangalia nahis kuna biashara inayofanyika nyuma ya pazia,,mbona kama hawajiamin amini sana,,kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia