Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hivi into the bad land ina sehem ngapi katika sizoni hii ya pili
 
Into the badland kuwepa episode 6 ni uzembe wa hali ya juu,,,,sijui hii ya season 2 itakuaje...
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Empire ipo vizuri kwa wale wanapenda serios zisizo na vurugu sema wengi wamechukia ile dhana ya main character kuwa gay.
Na niliacha kuitazama kwa sababu hiyo tu habari za kina kaoge na James deliciousnikaikacha season 2 baada ya kuona waziwazi habari za ki lesbo
 
Wakuu,wale wapenda sci-fi kuna series moja inaitwa Time After Time. Ni shidaa ni balaaa,Yaani Ni Bonge moja la series,linaanza kizembe zembe tu hivi lakini mbele balaa. Kwa walioangalia itaona revenge Daniel yuko katika hii Time After Time
Sci-fi ni nini ?kabla ya kudownload series huwa nacheki kama ina Drama au action.. naomba unijuze na ilo mkuu.
 
Sci-fi ni nini ?kabla ya kudownload series huwa nacheki kama ina Drama au action.. naomba unijuze na ilo mkuu.
Sci-fi ni genre ya movie ambayo inahusu mambo ya sayansi ya kitchnelojia ya kusadikika,Yaani sayansi na technolojia ya hali ya juu ambayo Haipo kwa sasa duniani. Hii ina action ndio,ni nzuri inahusu time travellers
 
Iko vip hii kigongo? Yan inahusiana hasa na mimi mkuu.

taken kuna jamaa alikuwa special opps, akapiga mission moja akamkamata drug kingpin akafungwa ... akarudi uraiani... sasa na covert operation unit ambayo haiexist bythe law... sasa wanamrecruit jamaa baada ya kuonekana kwenye tukio moja kupitia cctv camera za treni ujasiri wake... wakamrecruit na kuanza kumtumia kusaka outlaws
Hakuna series nachukia kama hii empire. Series za magasho na mamamsi izii mkuu achananayo.
kuna jamaaa ameniambia kwa sasa haina hjhizo mambo afu imekolea ..sasa sijui nianzie hapa au nimetano nayo mazima ...maanamwanzoniliangalia lakini niliacha kutokana na huo ungese
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom