Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,277
- 33,583
Tutaifuata huko huko maktaba,hapana chezea piratesbaySasa hiyo haitorushwa hewani, itabaki maktaba![]()

Tutaifuata huko huko maktaba,hapana chezea piratesbaySasa hiyo haitorushwa hewani, itabaki maktaba![]()

YeahHahaaaa!! Ndio wale mliochukizwa na ugay?
Khaaah!! Basi itafutwa maana nitakuwa nimekimbia kunjunjumuliwa.Tutaifuata huko huko maktaba,hapana chezea piratesbay![]()
Pole mwaya,kwakweli inakera ila ndio hivyo tena movie nayo tamu tafanyaje sasa!Yeah
Hahahaaaa!wewe kweli umepinda!Khaaah!! Basi itafutwa maana nitakuwa nimekimbia kunjunjumuliwa.
Ukali wake nn mkuu semaaaBwana bwana bwanaa kuna hatari nyingine ya kikolea Hiden identity ni hatari tupu
Khaaah! Sasa naanzaje kunjunjumuliwa tu hivi hivi na watu wamezunguka na kamera!! Labada watupe camera tunajirekodi tukimaliza tunaangalia wenyewe alafu tunafuta, tutawaambia the mission was impossible.Hahahaaaa!wewe kweli umepinda!

Teh teh!Khaaah! Sasa naanzaje kunjunjumuliwa tu hivi hivi na watu wamezunguka na kamera!! Labada watupe camera tunajirekodi tukimaliza tunaangalia wenyewe alafu tunafuta, tutawaambia the mission was impossible.![]()
![]()
nilimkubali zaidi baada ya ghost kuachana nae alipomfata tasha akidhani atamtosa ghost kuhusu kumuua lobos.... alinichekesha sana alipo mwambia amenilala usiku kucha tulikuwa nae ...Kwakweli thats true friendship haswaaa!
Tasha mwanamke wa kweli, na hakutaka kuwajengea wanae chuki dhidi ya baba yao, tena pamoja na kuachwa ila bado hakumuombea mabaya ghost.
Hahahaaaaa!!! Alimuumiza anjela kweli kweli, anaumia wakati na yeye alimuibia mwenzie.nilimkubali zaidi baada ya ghost kuachana nae alipomfata tasha akidhani atamtosa ghost kuhusu kumuua lobos.... alinichekesha sana alipo mwambia amenilala usiku kucha tulikuwa nae ...
Hamna bhana... mnagegedana vipi mbele ya kundi la watu?! And you know what; wakati scenes kama zile zinapokuwa shot, moja ya kazi za wengine ni kuhakikisha mtu havuki mipaka!! Anyway, zipo filamu zenye real sex lakini sio Power!!Hahaaaa!! Eti wako chiu kabisaa alafu uniambie wanaigiza, basi ngoja nami nikaombe japo kasin kamoja tu.![]()
![]()
![]()
Duuuuh!! Basi sitaki tena kama hakuna mnjunjumuano wa ukweli.Hamna bhana... mnagegedana vipi mbele ya kundi la watu?! And you know what; wakati scenes kama zile zinapokuwa shot, moja ya kazi za wengine ni kuhakikisha mtu havuki mipaka!! Anyway, zipo filamu zenye real sex lakini sio Power!!
Hahahaa... sasa ukitaka ya ukweli ukweli si tunafanya tu ya kwetu!! Sema 50 Cts aliwawakia kishenzi walipoonesha dushe lake live; ndipo nikajua, eh... kumbe na wenyewe huwa wana-mind!!Duuuuh!! Basi sitaki tena kama hakuna mnjunjumuano wa ukweli.
Aiseee yaani pale niliparewind kama mara 5 hiviHahahaa... sasa ukitaka ya ukweli ukweli si tunafanya tu ya kwetu!! Sema 50 Cts aliwawakia kishenzi walipoonesha dushe lake live; ndipo nikajua, eh... kumbe na wenyewe huwa wana-mind!!
mnh!! Sa' nini kilikuwa kinakufanya urudie rudie?! Acha habari zako bhana, au unataka kunipiga fix kwamba umeli-miss?!Aiseee yaani pale niliparewind kama mara 5 hivi![]()
![]()
![]()
Kumbe aliwamind?
Sijui kwanini nilikuwa interested napo, ila nililiona dushe kabisa nikastuka kuwa ni ya kweli hii!!!mnh!! Sa' nini kilikuwa kinakufanya urudie rudie?! Acha habari zako bhana, au unataka kunipiga fix kwamba umeli-miss?!
50 kilichomfanya ame-mind zaidi anadai aunt yake ni mpenzi mkubwa wa ile show halafu fixer wa sex scenes hakumwambia!!Sijui kwanini nilikuwa interested napo, ila nililiona dushe kabisa nikastuka kuwa ni ya kweli hii!!!
Ndio wakome, ila wasikome maana wanatupa burudani, teh teh teeeh!50 kilichomfanya ame-mind zaidi anadai aunt yake ni mpenzi mkubwa wa ile show halafu fixer wa sex scenes hakumwambia!!
Episode ya ngapi hiyo dushe lilipoonekana mi sikuliona au sikuconcentrate50 kilichomfanya ame-mind zaidi anadai aunt yake ni mpenzi mkubwa wa ile show halafu fixer wa sex scenes hakumwambia!!