Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kwakweli thats true friendship haswaaa!
Tasha mwanamke wa kweli, na hakutaka kuwajengea wanae chuki dhidi ya baba yao, tena pamoja na kuachwa ila bado hakumuombea mabaya ghost.
Mmesahau. Kipindi Tasha yuko na Sean alikua tayari ghost afe na hata Sean alipokufa Tasha thought ghost killed him so alimhate balaa.
 
Hahaaaa!! Eti wako chiu kabisaa alafu uniambie wanaigiza, basi ngoja nami nikaombe japo kasin kamoja tu.[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Yaani unaeza kuta hata kukiss hawajawahi.....technology
 
Mmesahau. Kipindi Tasha yuko na Sean alikua tayari ghost afe na hata Sean alipokufa Tasha thought ghost killed him so alimhate balaa.
Mmmh!! Hii siikumbuki, ninachokumbuka alimchukia ila hakumuombea mabaya.
 
Aiseeee!!

Hamna bwana inawaza na mpz wa tom alivyokufa alafu mjamzito.

Jamani lucious wa empire ananifurahisha alivyo na wivu kwa cookie wakati waliahaachana.
Hio hata season 1 sikumaliza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom