Series (Special thread)

Series (Special thread)

chige usinifanyie hivyo bwana, plz nipe maelezo kidogo, nani alimuua and why?
Hahaa!! atoto bhana, yaani mie navyopenda kusimulia movie kungekuwa na details si ningekumwagia hapa!!! In short walikuwa kwenye jengo fulani anaongea na Tom Chandler. Baada ya muda wakaagana, Dr. Scott akawa anatembea along the hallway na ghafla akatokea assassin ambae alikuwa ni miongoni mwa wale wenye kinga akam-shoot na hapo hapo akam-shoot huku akiongea maneno ya Kilatini! Wengi walitarajia ile scene ingekuwa na mwendelezo kwenye season 3 lakini ikawa kinyume chake!!
 
Hahaa!! atoto bhana, yaani mie navyopenda kusimulia movie kungekuwa na details si ningekumwagia hapa!!! In short walikuwa kwenye jengo fulani anaongea na Tom Chandler. Baada ya muda wakaagana, Dr. Scott akawa anatembea along the hallway na ghafla akatokea assassin ambae alikuwa ni miongoni mwa wale wenye kinga akam-shoot na hapo hapo akam-shoot huku akiongea maneno ya Kilatini! Wengi walitarajia ile scene ingekuwa na mwendelezo kwenye season 3 lakini ikawa kinyume chake!!
Kwenye season 3 yule muuaji alitokea kwenye 5 episode,akiwa jela,nami nikajua kuna khs dr scott kitaanzia pale!
 
Kwenye season yule muuaji alitokea kwenye 5 episode,akiwa jela,nami nikajua kuna khs dr scott kitaanzia pale!
Yah! Wengi waliamini hivyo... mwanzoni waliamini details zingepatikana kwenye episode ya kwanza tu; lakini hola! Halafu sijafahamu ni kwanini "wamemuua" kirahisi vile wakati alikuwa main! Chukulia Brad Bellick wa PB kwa mfano; hata kama kifo chake kilisikitisha (kwamba asingekufa) lakini unaiona sababu ya msingi kabisa ya kifo chake...
 
Hahaa!! atoto bhana, yaani mie navyopenda kusimulia movie kungekuwa na details si ningekumwagia hapa!!! In short walikuwa kwenye jengo fulani anaongea na Tom Chandler. Baada ya muda wakaagana, Dr. Scott akawa anatembea along the hallway na ghafla akatokea assassin ambae alikuwa ni miongoni mwa wale wenye kinga akam-shoot na hapo hapo akam-shoot huku akiongea maneno ya Kilatini! Wengi walitarajia ile scene ingekuwa na mwendelezo kwenye season 3 lakini ikawa kinyume chake!!
Thats why i love you, thanks. nimekumbuka hicho kitu sasa, ngoja niendelee sasa ndio niko episod ya 4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom