Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,716
- 208,985
WamekwazaNamshukuru Mungu kiukweli, naomba tu wasini dissapoint wataniumiza mno..! maana kitu kikiwa kizuri wakilazimisha kurefusha wanajikuta wanaharibu..!
Mallory alimshoot Norman.. Norman kalala hapo chini uelekeo wa kufariki.. wakamuita Horace.. wakatudanganya kummpa nguvu Norman za kumshoot Horace
Imeisha ikihang.. sijui wataendelea au vipi