g da sparta
Member
- Aug 12, 2015
- 91
- 21
Hivi series ya legend of the seeker inaishia namb ngap??
Season 2 episode 22Hivi series ya legend of the seeker inaishia namb ngap??
Season 4 ndo imeanza juzi!! Kuna issue moja ilitokea US few years ago wakati huu huu wa Obama ambayo inafahamika kama Illegal Program ambayo nayo ilihusisha Russian Spies ambao walijipenyeza US na kuishi kama Wamarekani! Hii ni real story ingawaje wengine wanaamini ilikuwa staged na FBI but not!!! Sasa kama issue ya Illegal Program unaifahamu basi kuna mfanano flani hivi wa premise kati ya Illegal Program na The Americans!! Na ile Illegal Program siku wanakuwa arrested ilikuwa kama movie flani hivi!!Hiii inaonekana itakua tamu. Ipo season ngapi
Wow! Inaonekana ni nzuri hii.Season 4 ndo imeanza juzi!! Kuna issue moja ilitokea US few years ago wakati huu huu wa Obama ambayo inafahamika kama Illegal Program ambayo nayo ilihusisha Russian Spies ambao walijipenyeza US na kuishi kama Wamarekani! Hii ni real story ingawaje wengine wanaamini ilikuwa staged na FBI but not!!! Sasa kama issue ya Illegal Program unaifahamu basi kuna mfanano flani hivi wa theme kati ya Illegal Program na The Americans!! Na ile Illegal Program siku wanakuwa arrested ilikuwa kama movie flani hivi!!
Kama unapenda spy stuffs, basi ijaribu the Americans!!! Na kwa kuangalia taste zako hapa JF, I guess hata hii utaipenda! Unajua msingi wa kwanza kabisa wa movie/series yoyote ni story! Story ikiwa kali na ukapata director mzuri, hata wewe atoto unaweza kutoboa kwenye movie yako ya kwanza tu Hollywood hata kama hujawahi kuigiza! Sasa mwandishi wa story ya The Americans ni ex-CIA officer... kwahiyo anaandika kitu anachokifahamu!Wow! Inaonekana ni nzuri hii.
Kama unapenda spy stuffs, basi ijaribu the Americans!!! Na kwa kuangalia taste zako hapa JF, I guess hata hii utaipenda! Unajua msingi wa kwanza kabisa wa movie/series yoyote ni story! Story ikiwa kali na ukapata director mzuri, hata wewe atoto unaweza kutoboa kwenye movie yako ya kwanza tu Hollywood hata kama hujawahi kuigiza! Sasa mwandishi wa story ya The Americans ni ex-CIA officer... kwahiyo anaandika kitu anachokifahamu!Wow! Inaonekana ni nzuri hii.
Okey, ngoja nidownload japo 2episods niicheki.Kama unapenda spy stuffs, basi ijaribu the Americans!!! Na kwa kuangalia taste zako hapa JF, I guess hata hii utaipenda! Unajua msingi wa kwanza kabisa wa movie/series yoyote ni story! Story ikiwa kali na ukapata director mzuri, hata wewe atoto unaweza kutoboa kwenye movie yako ya kwanza tu Hollywood hata kama hujawahi kuigiza! Sasa mwandishi wa story ya The Americans ni ex-CIA officer... kwahiyo anaandika kitu anachokifahamu!
Hahaa, mimi nilikuwa na kiherere cha kuona nini kilitokea baada ya Paige ku-blow cover ya wazazi wake kwa Mchungaji kwahiyo nikalazimika nifanye haraka kuangalia S04E01 wakati kwa kawaida huwa napenda kuiangalia in batch ya angalau 3 episodes ili nisipoteze flow ya story.Okey, ngoja nidownload japo 2episods niicheki.
Sasa mbona unanitamanisha kujua ilikuwaje?Hahaa, mimi nilikuwa na kiherere cha kuona nini kilitokea baada ya Paige ku-blow cover ya wazazi wake kwa Mchungaji kwahiyo nikalazimika nifanye haraka kuangalia S04E01 wakati kwa kawaida huwa napenda kuiangalia in batch ya angalau 3 episodes ili nisipoteze flow ya story.

Nikikuambia nitakuondolea ladha... iangalie kwanza na usipopenda kuendelea nayo ndo nitakuambia what happened... na ikiwa huyo Mchungaji ni mchungaji kweli au nae ni Russian or CIA Spy posed as mchungaji!!!!Sasa mbona unanitamanisha kujua ilikuwaje?![]()
![]()
Khaaaah! Thio vidhuli!! Ninong'onezeNikikuambia nitakuondolea ladha... iangalie kwanza na usipopenda kuendelea nayo ndo nitakuambia what happened... na ikiwa huyo Mchungaji ni mchungaji kweli au nae ni Russian or CIA Spy posed as mchungaji!!!!

Mkuu chige hii ina missions pia? Nashusha plot yake niione na mm napenda sana u spyHahaa.... lakini mkuu si unafahamu kwamba haya mambo yanaongozwa sana na personal taste? Binafsi napenda sana spy stuff na kwa spy series, naweza kusema with confidence hii ni TOP! Lakini kama ni mfuasi wa mambo ya kutwangana magumi, full machine guns... hii inaweza kukuboa!!! Kwenye hii, watu wanatolewa roho kimyakimya.... si unajua tena majasusi?!!
sasa hiv ipo s03 E08me ndo kwanza nipo season 1 sasa ni season ya ngap ep ya ngap ?
hii series mkuu sijajua inahusu nn ebu n dokeze kdogo.IPO mkuu inaitwa :-11.22.1963
hii series mkuu sijajua inahusu nn ebu n dokeze kdogo.[/QUOTE
Unaweza pitia hapa mkuu
ni kwere aseeeeDaredevil mzigo umetema woteee season two episode 1 hadi 12 ambayo ndio season finale.
Pakua uone kipofu anapotumia milango mingine ya fahamu kuona na kuhisi na kunusa hatari na kila maovu.