Issue si kuona ni mambo ya kawaida bali it's none of my business! Mimi hata in real life sina time na maisha ya mtu asiyenihusu na ndio maana hata hapa JF nikiona watu wanatoka mapovu eti oh, fulani malaya... sijui fulani amekondeana.... huwa sina time na stori kama hizo... that's one but second, gay portrayal in Hollywood wala hawatulengi sisi bali wanalengana Wamarekani wenyewe ambao kuna baadhi wanaona gayism ni kawaida tu na wengine wanaona ni serious crime... hawa, ndio wanaowalenga Hollywood!! Sasa unless kama unamaanisha wenye misamamo hasi from America, then I agree with you lakini kama ni wale wa Afrika; come on man; wala hawana time na sisi!! Lakini third, mimi kuna mambo yananikera zaidi kuliko huo ushoga kv yananiathiri moja kwa moja! Dume zima likiamua kutoa makalio shauri yake na ndugu zake ndio anawadhalilisha lakini sio mimi! Kinyume chake, Afrika kuna wezi kwenye kila ofisi ya serikali... wezi hawa wanatufanya tukose maji, umeme, barabara, huduma za afya n.k!! Yaani Waafrika ingekuwa tunachukia ufisadi nusu tu ya vile tunavyochukia ushoga, wallah hili bara lingekuwa mbali sana!!!!
Anyway, in short I don't care...!! Thanks God nadhani hatuna shoga kwenye familia lakini eti niumize kichwa kisa ushoga wa XYZ wa Magomeni au Kinondoni ambao wala hawanihusu.... wala sina huo muda-- na ktk hili kuzitaja series za US ni kuwaonea manake hata huko vijijini watu wanatatuana marinda na wala hizo series hawajawahi kuzikia achilia mbali kuziona!!