Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,307
- 47,814
Wasiicheleweshe tuumeielezea vyema sana ndugu yangu, and yes..! it’s one hell of a series, nawaza tu Je, season two watakuja na the very same ‘taste’ kama hii..!?
Wasiicheleweshe tuumeielezea vyema sana ndugu yangu, and yes..! it’s one hell of a series, nawaza tu Je, season two watakuja na the very same ‘taste’ kama hii..!?
Inaonekana tamu hii wacha nimalizane na MIA niichek hii pia!
El punisher Mexicano tupu Yani ngoja niitafute 🙏🙏🙏🙏
Pamoja mkuu ebu tukaipKue.
Kuna unyama hatari sana hakuna kucheka na mtu humo na story yake nzuri ila starring anakufaEl punisher Mexicano tupu Yani ngoja niitafute 🙏🙏🙏🙏
Umeicheki memory of a killer humo kila episode ikiisha unatamani kucheki nextSijaiangalia hiyo
Sijui hata ni series au ni single movie, saizi nipo kuangalia Citadel nipo season 1 maana niliiona mnai hype kishenzi na mimi nilianza kuikatia tamaa nilipomuona yule dada wa Kihindi.
Umewahi kuona starring anakufa? Basi utaona humoPamoja mkuu ebu tukaipKue.
Hatari humo hakuna kucheka na kima je umewahi kuona starring anakufa utaona humo
Hiyo nilianza kicheki siku ile ile ilipoachiwa sasa changamoto ya fresh series huwa zinakuja zikiwa zimekosa baadhi ya features mpaka pale baadaye inapokaa kwa muda mrefu.Umeicheki memory of a killer humo kila episode ikiisha unatamani kucheki next
Yesu alikufaUmewahi kuona starring anakufa? Basi utaona humo
Huyo dada siku hizi hachekeshi movie zake tamu kinoma! Ukimaliza hiyo MIA inakusubiri😁Sijaiangalia hiyo
Sijui hata ni series au ni single movie, saizi nipo kuangalia Citadel nipo season 1 maana niliiona mnai hype kishenzi na mimi nilianza kuikatia tamaa nilipomuona yule dada wa Kihindi.
Hata hivyo sijapenda sana story yake, kuna namna naiona imekaa ki fiction zaidi.Huyo dada siku hizi hachekeshi movie zake tamu kinoma! Ukimaliza hiyo MIA inakusubiri😁
Yani kila alichokiwa anafanya kilikuwa perfect! Hata akipigwa hapigiki sana! Cane aliipata kipindi hajarudishiwa memory lakini yeye haikupita muda akarejeshewa memory na kupambana mwanzo mwisho! Kwakweli kuna mapungufu sema tu ni movie hakuna namna tunaitizama tu😅Hata hivyo sijapenda sana story yake, kuna namna naiona imekaa ki fiction zaidi.
Hususan ile episode ya 3 kwenye scene ambyo Kane alikuwa anakimbizwa kwenye ice akiwa amevaa zile ice diving shoes .
Mimi pale sikupapenda yani director alionyesha dhahiri yupo upande wa star.
Kila alichokuwa anakifanya star kilikuwa kinatokea kwa usahihi na kila walichofanya maadui kilionekana ni kazi bure.
Haiwezekani watu zaidi ya 50 wenye automated guns wako na modern war vehicle wwanakukimbiza na kila wakikulenga wanakosa na tena sehemu nyingine ni close range kabisa lakini eti wana miss.
Lakini yeye akilenga imo.
Sa si umeona kazi hiyo?Yani kila alichokiwa anafanya kilikuwa perfect! Hata akipigwa hapigiki sana! Cane aliipata kipindi hajarudishiwa memory lakini yeye haikupita muda akarejeshewa memory na kupambana mwanzo mwisho! Kwakweli kuna mapungufu sema tu ni movie hakuna namna tunaitizama tu😅