Series (Special thread)

Series: GANGSLAND

gen z watata wanajihusisha na wizi mdogo mdogo mtaani wanajikuta wanaiba begi ambalo walidhani ina hela kumbe ni la madawa kulevya na bahati mbaya huo mzigo ni wa gangster mmoja hatari na katili wa madawa kulevya hii inaitwa messing up with wrong person na Kati ya hao Gen z mmoja wapo ni mjomba wa mwanajeshi mstaafu na ametoka kwenye familia nzuri ukilinganisha na magen z wenzake unafikiri itakuaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…