Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mi huwa napenda movie isiwe na sex scene ambazo hazina maana, sababu nipo ku enjoy stori ya movie nikingekuwa nataka hisia nyingine si ningeenda ku angalia zangu pilau 😁
Kuna kamoja kanaitwa machine gun.. unaangalia mpk unachefukwa unafanya kupeleka mbele

Pilau ni pilau, sometimes unacheck tu makande, mixer la maharage na mahindi 😀
 
Kuna kamoja kanaitwa machine gun.. unaangalia mpk unachefukwa unafanya kupeleka mbele

Pilau ni pilau, sometimes unacheck tu makande, mixer la maharage na mahindi 😀
ila ni bora niangalie movie yenye pilau kuliko ila nzuri kuliko kuangalia movie mbaya ambazo hazieleweki kabisa kiufupi inakuwa ni mbaya mpaka unajuta kwa nini hata uliangalia 😁
 
OLYMPUS HAS FALLEN
View attachment 3577592

2. Halafu kuna huyu mnyama anaitwa The Night Stalker MH-60M DAP Black Hawk, kuna ile scene chuma 4 zinawahi eneo la tukio huku zipo kimo cha Mbuzi speed 180 masaa ya mbele.

Oya wale terrorist walivozinyaka mashine kwenye camera wakachanganyikiwa.

Hii chuma inakufumania ukiwa usingizini bado unaota ndoto nyevu, inakuwahisha ahera.
Katika helicopter deadly na kuogopa ni apache AH 64.
Bunduki yake ile imefungwa kwa chini inaongozwa na kifaa maalumu kina trace eyeballs za operator WA silaha, akiangalia kushoto na bunduki ina point kushoto, akiangalia kulia bunduki ina point kulia, Ile haikosei.

Juu ya rotor ina radar na wanapanda watu wawili tu. Pilot na weapon officer.
apache111.jpg
 
Kuna kamoja kanaitwa machine gun.. unaangalia mpk unachefukwa unafanya kupeleka mbele

Pilau ni pilau, sometimes unacheck tu makande, mixer la maharage na mahindi 😀

Kuna kamoja kanaitwa machine gun.. unaangalia mpk unachefukwa unafanya kupeleka mbele

Pilau ni pilau, sometimes unacheck tu makande, mixer la maharage na mahindi 😀
Mkuu ile machine gunner mbona ni porno sababu waigizaji wote waliokua mule ni waigiza porno wakiongoza na KIRA NOIR
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom