Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kuna series ya The boys imetoka season mpya ushaicheki, ni nzuri japokuwa ni ya superhero pia ina comedy
Ile niliwahi kuangalia episodes chache kwenye season 1 mtu alivyogongwa na gari baadae nikaachana nayo. Superhero nayo subiri ijae ni Moja tu daredevil Born again. Hii hata wakileta 7th season nitatembea nayo
 
Kiranga hii scene nilicheka kishenzi, una mkumbuka huyu jamaa?

FB_IMG_17730099906196048.jpg
 
Kuna kdrama moja ni Kali mno inaitwa lookout au kwa jina lingine ni The guardian humo ndani Kuna suspect, hypocrite, betrayal ya mission, crime, investigation, kuna dogo humo kacheza nimemkubali ile mbaya yaani dogo ni personality yake ni mkimya alafu ni mwanafunzi ila ni hatari ile mbaya, katili ile mbaya na Kuna tabasamu lake akilipiga ujue umeumia wazazi wake hawajua Wana mtoto wa haina gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom