Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 11,275
- 33,877
Mallory ni something else😂🙌🏾Nimecheka sana S02 Melarie kamwambia driver aendeshe gari huku katoa kichwa nje kisa anasmell vibaya.. 😅😅😅
Mallory ni something else😂🙌🏾Nimecheka sana S02 Melarie kamwambia driver aendeshe gari huku katoa kichwa nje kisa anasmell vibaya.. 😅😅😅
Huku hakuna wateja, sio uzi wa waganga huuNjoonj
Nani kasema kusema Njooni ni nia ya kuita wateja?Huku hakuna wateja, sio uzi wa waganga huu
Nastream kupitia platform ya Onstream kwenye google tvHuwa Unaangalizia wapi hii mkuu?
Router ya voda home na natumia airtel router nikiwa kaziniUnatumia mtandao gani mkuu, maana naona unatamba tu na 1080p
Thank you!Nastream kupitia platform ya Onstream kwenye google tv